McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Natafakari tu.
Juzi tulimsikia Msigwa akisema plain and open kuwa hakuna mtu atakayelazimishwa kuingia kwenye maridhiano.
Hii kauli ya Msigwa haitofautiani sana na zile kauli walizokuwa wakitoa CCM kipindi kile cha Uchaguzi.
Walikuwa wanasema kabisa kwamba kama CHADEMA hawataki kushiriki kwenye Uchaguzi waache maana kushiriki Uchaguzi ni hiyari. Lakini kama mlivyoona Uchaguzi haukufanyika na watu wengi walifariki.
Soma pia: Wenje: Rais Samia alitekeleza mapendekezo ya CHADEMA lakini bado wakasusia uchaguzi
Sasa based on kauli za Msigwa, CCM wanarudia tena njia ile ile. Wataridhiana na mamluki na vyama vidogo vidogo kama ACT Wazalendo, CHAUMMA na vingine vingi alafu wataacha CHADEMA ambao ndio watu wa kwanza wanaotakiwa kuridhiana nao.
Binafsi kutokana na masuala haya 4 naona ni ngumu sana maridhiano ya kweli kufanyika
Natafakari tu.
Juzi tulimsikia Msigwa akisema plain and open kuwa hakuna mtu atakayelazimishwa kuingia kwenye maridhiano.
Hii kauli ya Msigwa haitofautiani sana na zile kauli walizokuwa wakitoa CCM kipindi kile cha Uchaguzi.
Walikuwa wanasema kabisa kwamba kama CHADEMA hawataki kushiriki kwenye Uchaguzi waache maana kushiriki Uchaguzi ni hiyari. Lakini kama mlivyoona Uchaguzi haukufanyika na watu wengi walifariki.
Soma pia: Wenje: Rais Samia alitekeleza mapendekezo ya CHADEMA lakini bado wakasusia uchaguzi
Sasa based on kauli za Msigwa, CCM wanarudia tena njia ile ile. Wataridhiana na mamluki na vyama vidogo vidogo kama ACT Wazalendo, CHAUMMA na vingine vingi alafu wataacha CHADEMA ambao ndio watu wa kwanza wanaotakiwa kuridhiana nao.
Binafsi kutokana na masuala haya 4 naona ni ngumu sana maridhiano ya kweli kufanyika
- Kitendo cha Lissu kuwekwa ndani hadi sasa kinaacha doa kwenye suala zima la maridhiano
- Kuweka "Tume Ya Mchongo" ambayo inashughulikia mauaji ya October 29. Wapinzani wa kweli hawaoni hiyo tume kama ni credible.
- Vita ya Serikali na Kanisa Katoliki pia ni sababu nyingine. Kanisa Katoliki kama lingekuwa in good terms na Serikali basi maridhiano yangekuwa ni mepesi zaidi lakini kwa sasa ngoma ni ngumu
- Matamko ya viongozi wa Serikali kuhusu maridhiano. Mfano Girishoni na Kihongosi inaonekana ni kama wameamua kufanya maridhiano as "by the way" ili ionekane maridhiano yamefanyika lakini hawana nia ya dhati ya kuleta amani
