johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,966
- 141,974
Katiba ya sasa inatoa madaraka makubwa kwa Rais wa JMT na hili hata Mwalimu Nyerere alilisemea.
Hivyo siyo busara kwa watu wa vetting kufumbia macho undugunization katika maeneo nyeti kwa Afya ya Taifa letu.
Serikali ni tofauti na chama cha siasa.
Mungu wa mbinguni akubariki!
Hivyo siyo busara kwa watu wa vetting kufumbia macho undugunization katika maeneo nyeti kwa Afya ya Taifa letu.
Serikali ni tofauti na chama cha siasa.
Mungu wa mbinguni akubariki!