VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Watanzania tuseme inatosha. Sisi wazalendo tuliopo CCM tunataka mabadiliko. Mabadiliko ya kiuongozi. Kashfa ya ngapi hii? Hamchoki dharau zetu na kujiamini kwetu? Hamchoki wizi wetu na kulindana kwetu? Ufike wakati mchoke na kukipumzisha chama chetu ili tujute na kujipanga upya.
Amini nawaambia,ndani ya CCM ufisadi hautaisha. Fedha za watanzania zitaendelea kuliwa bila huruma. Hata Serikali ivunjwe na kuundwa mara ngapi,hakutakuwa na jipya. Teuzi katika tafsiri za kichama ni zamu ya kuvuna. Hakuna kiongozi ndani ya chama hiki asiye na vimelea vya ufisadi. Ni kuzidiana tu
Chaguzi zimekaribia. Watanzania fanyeni maamuzi. Maamuzi ya kukipumzisha chama tawala. Mazoea yananoga. Mkikiacha chama hiki,msilalame tena juu ya ufisadi huu au ule. Tanzanians...power to us!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Amini nawaambia,ndani ya CCM ufisadi hautaisha. Fedha za watanzania zitaendelea kuliwa bila huruma. Hata Serikali ivunjwe na kuundwa mara ngapi,hakutakuwa na jipya. Teuzi katika tafsiri za kichama ni zamu ya kuvuna. Hakuna kiongozi ndani ya chama hiki asiye na vimelea vya ufisadi. Ni kuzidiana tu
Chaguzi zimekaribia. Watanzania fanyeni maamuzi. Maamuzi ya kukipumzisha chama tawala. Mazoea yananoga. Mkikiacha chama hiki,msilalame tena juu ya ufisadi huu au ule. Tanzanians...power to us!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam