Kibiolojia tendo la ndoa ni tendo linalotumia energy nyingi sana. Kitendo cha kupiga bao moja energy inayotumika ni sawa na kukimbia viwanja vya mpira kumi.
Ki msingi ...tendo la ndoa nilnaunguza calories za kutosha na hivyo uzalisha joto jingi mwilini. Kwa wadau wanaoishi maeneo ya baridi hili hawatakua na shaka nalo coz wao utumia mchezo huu pendwa kama cold management activity.
Kwa fact hii...mwanaume anaeishi maeneo yenye joto kali kama Dar na Tanga ....hivi anaanzaje kujitia jeuri kukaa kifuani kwa demu kwa muda mrefu?
Kwa joto analozalisha linaweza kupata kile kinachoitwa hot syndrome hali inayoweza pelekea kuzimia, kupatwa na dege dege na pengine kupata kiaharusi au heart attack kutokana na pressure kupanda .
Katika mazingira kama haya watu uadapt mechanism ya kupiga bao haraka yaani premature ejaculation .....ambalo uonekana kama tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume kumbe kiukweli is just body adaptation kuepuka matatizo ya kiafya.
Kwa msingi huu tunawaukumu bure wanaume wa Dar kwa kutopaform mechi za kibabe ....ukweli ni kuwa wao ni victim wa kimazingira yaani hali ya hewa ya maeneo yao.
# Wanaume wa Dar acheni kujilaumu...its just nomal biology...msilishwe michakula au midawa isiyo na tija.
Karibuni kwa maoni.
Ki msingi ...tendo la ndoa nilnaunguza calories za kutosha na hivyo uzalisha joto jingi mwilini. Kwa wadau wanaoishi maeneo ya baridi hili hawatakua na shaka nalo coz wao utumia mchezo huu pendwa kama cold management activity.
Kwa fact hii...mwanaume anaeishi maeneo yenye joto kali kama Dar na Tanga ....hivi anaanzaje kujitia jeuri kukaa kifuani kwa demu kwa muda mrefu?
Kwa joto analozalisha linaweza kupata kile kinachoitwa hot syndrome hali inayoweza pelekea kuzimia, kupatwa na dege dege na pengine kupata kiaharusi au heart attack kutokana na pressure kupanda .
Katika mazingira kama haya watu uadapt mechanism ya kupiga bao haraka yaani premature ejaculation .....ambalo uonekana kama tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume kumbe kiukweli is just body adaptation kuepuka matatizo ya kiafya.
Kwa msingi huu tunawaukumu bure wanaume wa Dar kwa kutopaform mechi za kibabe ....ukweli ni kuwa wao ni victim wa kimazingira yaani hali ya hewa ya maeneo yao.
# Wanaume wa Dar acheni kujilaumu...its just nomal biology...msilishwe michakula au midawa isiyo na tija.
Karibuni kwa maoni.