Homa la jiji
Senior Member
- Jan 13, 2014
- 129
- 28
Kwa matukio ya kihalifu na mauaji ya mara kwa mara yanayosababishwa na jeshi la polisi hapa nchini, imekuwa ni mazoea kwa raia kuishia kulalamika tu bila kuchukua hatua za kisheria. Au kufanya maamuzi sahihi juu ya nini kifanyike baada ya tukio ushirikiano umekuwa hafifu baina ya raia unakuta mtu kafanyiwa ndivyo sivyo na polisi akianza kufuatilia ili polisi awajibishwe kisheria unakatishwa tamaa na raia waliokuwepo wakati wa tukio wanaanza kukwepa kutoa ushahidi kiukweli tubadilike tushirikiane kutokomeza maonezi na ubambikiaji wa kesi na mauaji yanayofanywa na jeshi la polisi kwa kuwafikisha wahusika mahakamani na sio kuishia kalalamika tu.