nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari wakuu..
Huyu mdada ninatoka nae yupo hivi
1.. Wakuu huyu my Queens aisee ninaonyesha kila aina ya kumjali Ila shida haonyeshi hali yoyote ya kujali kujali
Japo pindi ninapoamua kuwa mbali uonyesha hali ya kuniitaji sana sana.. Pia ni mtu ambaye hapendi kuambiwa ukweli na hapendi kushuka pia..
Wakuu huyu dada mdada nampenda sana aisee Ila hiyo ndo shida ake
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mdada ninatoka nae yupo hivi
1.. Wakuu huyu my Queens aisee ninaonyesha kila aina ya kumjali Ila shida haonyeshi hali yoyote ya kujali kujali
Japo pindi ninapoamua kuwa mbali uonyesha hali ya kuniitaji sana sana.. Pia ni mtu ambaye hapendi kuambiwa ukweli na hapendi kushuka pia..
Wakuu huyu dada mdada nampenda sana aisee Ila hiyo ndo shida ake
Sent using Jamii Forums mobile app