Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
Afadhali sasa muache kulia-lia.
Daaah huo mpunga, udenda unamwagika sana hapaKozi za leseni za ngazi tofauti tofauti zinatolewa na mashirikisho ya soka.
Vipi unataka kuwa Kocha?
Kushabikia yanga lazima nati kichwani ziwe zimelegea.Kocha wenu mpya amepitia timu tofauti tofauti 12.
Je kama ni kocha Bora ametwaa taji gani ndani ya hizo timu 12 alizopitia?
Lopetegui alipokuja Real Madrid akamkuta huyu mwana.
Akaandika barua kwa rais ili jamaa asepeshwe mara moja Jamaa hakumaliza miezi 3 akafukuzwa.