Kwa huu mshahara, take home ni shingapi?

Uko sahihi ila kama wana bima NHIF atakatwa 3% of BS..take home itapungua kidogo.
 
Hello wajuvi nimepewa offer huko private sector naomba mnisaidie calculation ya takehome kwa huu mshahara.
1,549,000/=

Nadaiwa Heslb
Sijui elimu yako imekukomboa kifikra au bado! Kuna statutory deduction ya PAYEE! Kuna mifuko ya hifadhi ya jamii (5, au 10%) baasi ambavyo uanaweza ukatafuta ukapata bila kusumbua watu! Kama ulisoma kwa mkopo wa serikali punguza 15%.
 
Jumla ya deni ni kama 5M...inaweza chukua mda gani kulimaliza?
 
Eh kumbe natakiwa na maendeleo mengi aisee naona wengi mmesema hio hela ni nyingi
Mimi Take home inazidi hapo ila tarehe 18 tu Sina kitu
Pombe inanimaliza
Jaribu kupunguza pombe inawezekana. Au uwe unanywea kwa mangi kule hutumii hela nyingi, ukienda na 20,000 asubuhi unaiona na chenji yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…