nenda start alafu run alafu type CMD alafu OK, andika systeminfo na press ENTER, copy maelezo yatakayokuja utuwekee hapa ili kupata msaada sahihi
Habari za jumapili wapendwa?nimenunua laptop procesor ni pentium na ni 32 bit os je kwa iyo itakuwa ina mapungufu gan ukilinganisha na za kisasa au naweza kubadilisha procesor?
Habari za jumapili wapendwa?nimenunua laptop procesor ni pentium na ni 32 bit os je kwa iyo itakuwa ina mapungufu gan ukilinganisha na za kisasa au naweza kubadilisha procesor?
Unataka kui2mia kwa ma2mizi gani?
ni kwa ajili ya kusurf internet,kutype kaz mbalimbal,kuchek movie muziki nafikir na matumiz menginè madogo kama hayo!
Habari za jumapili wapendwa?nimenunua laptop procesor ni pentium na ni 32 bit os je kwa iyo itakuwa ina mapungufu gan ukilinganisha na za kisasa au naweza kubadilisha procesor?
Habari za jumapili wapendwa?nimenunua laptop procesor ni pentium na ni 32 bit os je kwa iyo itakuwa ina mapungufu gan ukilinganisha na za kisasa au naweza kubadilisha procesor?
sio mbaya kwa mambo uliyo ya taja. Tumia tu hyo mashne yako ukipata mzigo mwngne ndio ununue nyingne pia kama procesor ni 1.6ghz na kuendlea na ram ni 1gb na kuendlea unaeza weka wndws 7 .ubuntu ni nzuri lakn kama windws inakupga chenga ubuntu ndio kabisa utatupa laptop yako. Ushauri wa bure usitumie laptop kitandani utai haribu iweke juu ya kitu kigumu .
Habari za jumapili wapendwa?nimenunua laptop procesor ni pentium na ni 32 bit os je kwa iyo itakuwa ina mapungufu gan ukilinganisha na za kisasa au naweza kubadilisha procesor?
Kujua ukubwa wa ram na procssor yako nenda kwny icon ya my compta ryt click afu properties utaona zimeandkwa .natumia pentium 4 na iko poa sana
Hapo kwenye rangi hasa dell na toshiba..
Hiyo laptop umenunua kwa madhumuni gani? Kuchezea game, ku-type, kuangalia video, n.k?