Kwa hili serikali hamjatumia akili

Kwa hili serikali hamjatumia akili

kasukububu

Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
63
Reaction score
25
Je mnajua ni kwa nn bundle zimepunguzwa?
Serikali wamegundua kuwa mijadala mingi ya kimapinduzi inafanyikia kwenye mitandao(haswa JamiiForums)so ili kuizimisha jibu ni kupunguza bundle la internet, haiwezekani lazima haya makampuni wamepewa maelekezo na wenye nchi, iweje makampuni yote yaongeze bei na kupunguza bundles kwa wakati mmoja. Nilimuamini sana January Makamba ila kwahili nimemtoa thaman ,wapuuz hawa bundle ya 19999 wananipa 250mb kama si wizi ni nini?
 
kwani ni mambo gani serikali inatumia/imetumia akili? kama yapo ni kwahisani ya wazungu
 
aiseh mkuu sikufikiriaga huko kabisa sasa serikali yetu yataka nini? haswa jamani au ndo na kodi wana beba kwenye hayo makato bundle limepungua bei aibu yani tuliozoa mb 50 na 200 tunapata tabu sana ukiwasha data tu huna tena bundle kweli serkali sio mama yetu ina tutelekeza utafikirii sisi sio wana nchi wake aibu aibu embu tufanye nguvu kidogo juu ya hili
 
Yani mm nilishangaa nikajiuliza kwanini hii imekuwa ivi ila sikupata jibu serikali yetu ni utumbo utumbo mtupu
 
hawa jamaa wezi bundle ya internet one month airtel ilikuwa 3gb for 10thou now 3gb for 12500 ,,,,huu ni wizi
 
kwani ni mambo gani serikali inatumia/imetumia akili? kama yapo ni kwahisani ya wazungu

Ayaaaaaaa umewahi jibu langu Mpwa, nilitaka niulize hivyo hivyo Mpwa. Atueleze ni lini hawa jamaa walitumia akili???
 
Bora wewe ulieko eatel, mitandao mingi tunalia ss hivi penyewe mb zangu zinataka kukata, bora nyie wameongeza toka elfkumi hadi 12500 kwa mwez then still u get the same 3gb/month, nadhani kwakuwa wana hisa huko eatel. ccm ni janga la kitaifa!
 
watashusha bei chaguzi zote zikipita kama walivyopandisha bei za bidhaa 2010 baada ya uchaguzi. Inawezekana vipi makampuni yote bei moja, maana ya ushindani kibiashara iko wapi? lakini haidhuru kitu, tukizizoea hizi bei tutaendelea kuwa hewani na ujumbe utafika tu, labda waondoe kabsa mbs
 
19999 kwa 250mb???????

Au umeengeza tisa moja mkuu?
Nunua kifurushi cha mwez uone kama na ww utakua umeongeza tisa,hawa jamaa ni wehu kabisa,lengo lao tushindwe kujadili mambo ya ufisad na hiyo danganya toto la ambon tanga
 
Baada ya kushindwa kuchukua zile mia mia za mafuta wakahamia huku,

"tukutane october"
 
Back
Top Bottom