Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,346
- 10,220
Mwishoni mwa mwaka huu mashabiki wa soka watapata nafasi nyingine kushuhudia fainali za kombe la dunia zitakazofanyika nchini Qatar.
Qatar ni moja ya nchi inayopingwa vikali na mashabiki wengi wa soka duniani kwa kuwa chanzo cha vifo vya wafanyakazi wengi waliotokea nchi masikini kwenda nchini Qatar kujenga miundombinu itakayotumika kufanyia kombe la dunia.
Qatar inashutumiwa kuajiri cheap labour kutoka mataifa kama India wanaofanyishwa kazi ngumu na kupata ujira mdogo kitu kinachopelekea mamia ya wafanyakazi kufariki huku familia zao zikibaki na huzuni kwa kurudishiwa miili ya wapendwa wao waliofariki katika utafutaji.
Lakini ukiachana na yote hayo jambo moja kubwa la kuheshimiwa na kuwaunga mkono Qatar ni katika kupinga harakati za jamii ya LGBTQ (Mapenzi ya jinsia moja) kwasababu Qatar ni nchi yenye jamii kubwa ya dini ya watu wa Kiislam na kushiriki mapenzi ya jinsia moja kwao ni haram.
"Whoever lift the LGBTQ flag in the world cup, will be arrested for 7 or 11 years, we're here in an Islamic country you should respect our religion, beliefs and culture." -Qatar spokesperson
Adhabu kali itatolewa kwa yeyote yule atakayenyanyua bendera ya LGBTQ (Upinde wa mvua) anakula mvua ya miaka 7 mpaka 11.
Haya yatakuwa mashindano bora ya kombe la dunia, naamini LGBTQ ni community ya kishetani inayotakiwa kukemewa, kibaya zaidi nchi yetu ya Tanzania mwaka huu tulipeperusha bendera ya LGBTQ.
Qatar wameutendea haki Uislam pamoja na dini zote zinazopinga ushetani huu. FIFA na UEFA wanapaswa kupinga huu ushetani, wanajificha nyuma ya kivuli cha HUMANITY ila ubaguzi wa rangi pekee ndiyo movement inapaswa kupewa haki ya kuhusishwa kwenye soka.
Qatar ni moja ya nchi inayopingwa vikali na mashabiki wengi wa soka duniani kwa kuwa chanzo cha vifo vya wafanyakazi wengi waliotokea nchi masikini kwenda nchini Qatar kujenga miundombinu itakayotumika kufanyia kombe la dunia.
Qatar inashutumiwa kuajiri cheap labour kutoka mataifa kama India wanaofanyishwa kazi ngumu na kupata ujira mdogo kitu kinachopelekea mamia ya wafanyakazi kufariki huku familia zao zikibaki na huzuni kwa kurudishiwa miili ya wapendwa wao waliofariki katika utafutaji.
Lakini ukiachana na yote hayo jambo moja kubwa la kuheshimiwa na kuwaunga mkono Qatar ni katika kupinga harakati za jamii ya LGBTQ (Mapenzi ya jinsia moja) kwasababu Qatar ni nchi yenye jamii kubwa ya dini ya watu wa Kiislam na kushiriki mapenzi ya jinsia moja kwao ni haram.
"Whoever lift the LGBTQ flag in the world cup, will be arrested for 7 or 11 years, we're here in an Islamic country you should respect our religion, beliefs and culture." -Qatar spokesperson
Adhabu kali itatolewa kwa yeyote yule atakayenyanyua bendera ya LGBTQ (Upinde wa mvua) anakula mvua ya miaka 7 mpaka 11.
Haya yatakuwa mashindano bora ya kombe la dunia, naamini LGBTQ ni community ya kishetani inayotakiwa kukemewa, kibaya zaidi nchi yetu ya Tanzania mwaka huu tulipeperusha bendera ya LGBTQ.
Qatar wameutendea haki Uislam pamoja na dini zote zinazopinga ushetani huu. FIFA na UEFA wanapaswa kupinga huu ushetani, wanajificha nyuma ya kivuli cha HUMANITY ila ubaguzi wa rangi pekee ndiyo movement inapaswa kupewa haki ya kuhusishwa kwenye soka.