CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,461
Hahaahaaa.Dada nimekugusa!??/baada ya kumtaja bashite!
Hahaahaaa.Dada nimekugusa!??/baada ya kumtaja bashite!
Haujalewa? Hajafunguliwa mashitaka na DPP, kafunguliwa na wakili wa kujitegemea.Bashite ni fala tu DPP asimfungie macho na umeandika kitu cha maana sana ila kukisoma inaleta shida kdogo maana hujaacha nafasi na gazeti ni kubwa
Nmemsikiliza DPP clouds jion hii kapigiwa simu kuulizwa juu ya hilo suala kasema yeye hana taarifa hizo wakat alitakiwa yeye ndo awajibike wa kwanza ndo maana nikasema asilifungie machoHaujalewa? Hajafunguliwa mashitaka na DPP, kafunguliwa na wakili wa kujitegemea.
Cha kujiuliza ina maana mamlaka haijaona dosari zozote alizozifanya wakati akihudumu kwenye nafasi hiyo, aje tu raia from no where aanzishe kesi binafsi...
Ha haaa inakereketa kweli kweliNi kweli lakini haikuhusu.....
Sasa ulitaka wa kwake awape nini Mkuu? Mav.?! Hacha wivu wa kishamba.Magufuri alikuwa na matatizo ya akili..anawaita watoto wa wenzie wanyonge halafu wa kwake anawapa vitengo..hivi kwanza niulize huyu Rucy magufuri yuko wapi..bado ni das ?... huyu dada alikuwa amepewa ulinzi kuzidi hata wa waziri mkuu..
Nasoma vyombo mbalimbali kwamba aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar wakati wa awamu ya tano atafunguliwa mashitaka kwa matumizi mabaya ya ofisi!!! Iwapo itafunguliwa kesi hii iatakuwa ni ya pili Tangu Rais jpm afariki!...
Amini usiamini lazima kuna mkono wa serikaliKesi ya Sabaya imefunguliwa na Office ya DPP, kesi ya Makonda inategemea kufunguliwa na Mwanasheria wa kujitegemea!
Jinai haiexpiryHaujalewa? Hajafunguliwa mashitaka na DPP, kafunguliwa na wakili wa kujitegemea.
Cha kujiuliza ina maana mamlaka haijaona dosari zozote alizozifanya wakati akihudumu kwenye nafasi hiyo, aje tu raia from no where aanzishe kesi binafsi!
Je huyo wakili ni dhamira yake kweli, au kafanywa chambo na wafadhili hasa walioguswa na sakata la madawa?
Maana yake nimesoma shitaka alilofungua ni la Makonda kutumia madaraka vibaya kuingia ofisi za studio za Clauds akiwa na silaha.
Nakumbuka issue hiyo ilimalizwa na wahusika kusamehe, leo limekujaje kuibuliwa na mtu binafsi ambaye hajatendwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Serikali inamuogopa Makonda kiasi Cha Kumtumia Mwanasheria wa kujitegemea kufungua Kesi!?Amini usiamini lazima kuna mkono wa serikali