hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Sawa mkuu
Uwezi kufanya jambo kila mtu akaridhika... na ukifanya mambo kuridhisha watu utajikuta pale pale.
Tatizo la graduates wengi ni waoga wa competition.. Unalalamika interview ni watu wengi je kama wote wamekizi vigezo tatizo la HR ni lipii? wakiitwa wachache kila interview usipokuta jina lako unalalamika wanawekana kuna udini, kuna undugu... je wafanyenini?
Kazi sio sawa na mirathi kwamba utaitwa na wazazi wako wakukabidhii tuuu... unatakiwa upambane.. siasa za ujamaa zimepitwa sasa hiviii tuko CAPITALISM NA KATIKA CAPITALISM ONLY THE FITTEST WILL SURVIVE..
kwaiyoo embrace challenges in order to be competent... Sio kila jambo mnalalamika ukitegemea kuitwa interview peke yako hiyo ofisi itakuwa ya mzazi wako.. UKIONA wameitwa wengiiii na una ramani zakoo usipoteze muda achia wenye shidaaa hiyooo... LAWAMA NI MZIGO WA MAFIIII UTAKUNUKIA NA WEWE.. BE RATIONAL...
this is capitalism the world in which strongest will survive the weak will remain poor. SO HATE ALL WEAKNESS, HATE ALL WEAKNESS IN OTHERS BUT MOST OF IT, HATE ALL WEAKNESS IN YOUR SELF. EMBRACE COMPETITION TO BE THE FOUNDATION OF COMPETENT WORKER IN YOUR SELF. THE FACT is hawawezi kuita wachacheee ila wataita wengi wenye vigezooo mshindanie nafasi 1.
MAISHA HAYANA FORMULA MSIISHI KISOMI SANAAA MENGINE ELIMU YA MTAA NDIO NGUZO MAMA.. JENGA URAFIKI NA NJAA UISHI JANGWANI KAMA NGAMIA... MAISHA HAYAITAJI SILAHA JAPO NI VITA YA KUUMIA. Life is all about competition.... ni vitaaaa..Watakuja wengine wana kazi na magari kwenye interview ila usiogopeee pambanaa hata wakija na ndegee. you can't avoid that.
acheni kulaumu HR WAKO FAIR. Laumu kama kuna unfair competition.
try to understand soma mwa mwi ueleweee... cjasema wako fair au unfair na sijamtetea mtu.... laumu unfair... hope you gat dat...unatetea uhuni wa ma-HR wenzio
elimu ya mtaa ndio nguzoo mama.mtaani ni zaidi ya masters unajikuta umejua mambo mengi kwa wakati mmoja . i feel it imenifanya kuwa jasiri
kwanni enhe?Ushauri mzuri sana, ila ukweli mchungu ni kwamba graduates wengi wa sasa hawaajiriki!
kukata tamaa ni adui mkubwa sanaa.Umeandika vizuri kuwapa moyo hawa madogo, kazi kwao kuwa na akili za kujiongeza
umenielewa nilichosema??Kuna interview moja nilienda, written. Wakaitwa nje wote waliosahau kuja na vyeti, na kutokuja na cheti ni disqualification tayari. wapo waliorudishwa ndani, ila kuna dada mmoja hakuruhusiwa kabisa kufanya ile pepa. Akarudi ndani akachukua pochi yake akatoka nje. Baada ya kama dakika 4, akarudishwa na nafikiri ndo msimamizi mkuu, akawaambia "nimeambiwa mmuruhusu huyu dada afanye mtihani"..!!! I got shocked, na nilisikia cz nilikuw front row na pepa ilikuwa bado haijaanza so it was easy to concentrate on wat was discussed.
Kwahyo hyo fact NI KWELI TO SOME EXTENT na SIO KWELI KWA KIASI FULANI. Kubebana na undugu upo mzee..!!!! Ni vigumu sn kuavoid hyo situation.
Ni kweli nduguuu...umenifurahisha hapo kwenye "kazi sio mirathi ya baba yako kuwa utaitwa upatiwe tu"