Kwa hili chama hakitakuwa cha kifisadi.

Kwa hili chama hakitakuwa cha kifisadi.

Mkondakaiye

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
838
Reaction score
174
Kauli ya Mheshimiwa Mbowe kuwa iwapo CHADEMA kitashika dola mwaka 2015 watawala wote wanaotumia fedha za umma kwa maslahi binafisi watashitakiwa mahakamani na kupewa adhabu stahiki kama ilivyo kwa nchi zingine, itafanya CHADEMA kisiwe nacho chama cha kifisadi kama ambavyo imewahi kutokea katika nchi zingine.

Nakumbuka Chiluba wa Zambia baada ya kuingia madarakani kwa kumwangusha Kaunda, alitumia vibaya fedha za nchi yake yeye na familia yake, na baada ya kutoka madarakani alisota jela.

Najua watawala wa sasa ccm na wale wote wanaofaidi fedha za nchi kifsadi hawatafuraia kauli hii, lakini kwa hakika hiyo ndiyo njia pekee ya kulinda mali ya umma kwa maslahi ya taifa. Nawala hii sio kulipa kisasi kwa watawala waliopo madarakani.


My take: JK aanze kutekeleza kauli hii ya mbowe kabla hajatoka madarakani. Hii itampa heshima baada ya kuachiangazi.
 
Kwenye hili hatuna mchezo...Mkapa, Lusinde na matusi yake, Makamba, Sumaye, Chenge, JK, Lowassa.......watashtakiwa, tena naamin hawatashinda kesi zao.....wajiandae.
 
Kauli ya Mheshimiwa Mbowe kuwa iwapo CHADEMA kitashika dola mwaka 2015 watawala wote wanaotumia fedha za umma kwa maslahi binafisi watashitakiwa mahakamani na kupewa adhabu stahiki kama ilivyo kwa nchi zingine, itafanya CHADEMA kisiwe nacho chama cha kifisadi kama ambavyo imewahi kutokea katika nchi zingine.

Nakumbuka Chiluba wa Zambia baada ya kuingia madarakani kwa kumwangusha Kaunda, alitumia vibaya fedha za nchi yake yeye na familia yake, na baada ya kutoka madarakani alisota jela.

Najua watawala wa sasa ccm na wale wote wanaofaidi fedha za nchi kifsadi hawatafuraia kauli hii, lakini kwa hakika hiyo ndiyo njia pekee ya kulinda mali ya umma kwa maslahi ya taifa. Nawala hii sio kulipa kisasi kwa watawala waliopo madarakani.


My take: JK aanze kutekeleza kauli hii ya mbowe kabla hajatoka madarakani. Hii itampa heshima baada ya kuachiangazi.

Huo ni ukweli kwani ccm wanatumia fedha za umma vibaya kwani wanajua hawakuja kuwajibishwa.
 
Chama cha Mungu CHADEMA hatulei mafisadi hata siku moja.
 

My take: JK aanze kutekeleza kauli hii ya mbowe kabla hajatoka madarakani. Hii itampa heshima baada ya kuachiangazi.
JK...? Nadhani unatania...! Je, unakumbuka kwamba JK aliongoza katika ile Orodha ya Mafisadi ya Mwembe Yanga 2007? Au yeye unampa immunity?
 
Kauli ya Mheshimiwa Mbowe kuwa iwapo CHADEMA kitashika dola mwaka 2015 watawala wote wanaotumia fedha za umma kwa maslahi binafisi watashitakiwa mahakamani na kupewa adhabukm stahiki kama ilivyo kwa nchi zingine, itafanya CHADEMA kisiwe nacho chama cha kifisadi kama ambavyo imewahi kutokea katika nchi zingine.

Nakumbuka Chiluba wa Zambia baada ya kuingia madarakani kwa kumwangusha Kaunda, alitumia vibaya fedha za nchi yake yeye na familia yake, na baada ya kutoka madarakani alisota jela.

Najua watawala wa sasa ccm na wale wote wanaofaidi fedha za nchi kifsadi hawatafuraia kauli hii, lakini kwa hakika hiyo ndiyo njia pekee ya kulinda mali ya umma kwa maslahi ya taifa. Nawala hii sio kulipa kisasi kwa watawala waliopo madarakani.


My take: JK aanze kutekeleza kauli hii ya mbowe kabla hajatoka madarakani. Hii itampa heshima baada ya kuachiangazi.
.

Mradi CDM haijaweka wazi sera zake na mrengo wake wa kisiasa na kiuchumi , mimi nachukulia hizi kuwa porojo za kuwahamasisha wananchi Kujenga chuki tu na CCm na si vinginevyo.

Pengine mtoa mada bado ni kijana ndogo kutokumbuka kuwa TANU na hatimaye CCM walitoa matamko yanayolingana na tamko Hilo la Mbowe.

Hata mfano wa Chiluba ni stahili kabisa maana tunakumbuka Chilub alivyojilimbikizia mali hadi suti BAADA ya kuupata urais.
Haikumbukwi kabisa kuwa Chiluba aliingia madarakani na sera au itikadi ipi. Kinachokumbukwa ni chuki Yake kwa UNIP na Kaunda.

Madaraka kitu kingine bana, mtu akiyapata anawasahau wananchi na anafikiria kujilimbikzia Mali.
Kama unabisha fuatilia kwa makini mngawanyo wa ruzuku ndani ya CDM na ndio utelewa.
 
Kwenye hili hatuna mchezo...Mkapa, Lusinde na matusi yake, Makamba, Sumaye, Chenge, JK, Lowassa.......watashtakiwa, tena naamin hawatashinda kesi zao.....wajiandae.

Mkapa, Lowasa, Chenge Jk hawa hawata kwepa. Tatizo je CDM itachukua nchi?
 
.

Mradi CDM haijaweka wazi sera zake na mrengo wake wa kisiasa na kiuchumi , mimi nachukulia hizi kuwa porojo za kuwahamasisha wananchi Kujenga chuki tu na CCm na si vinginevyo.

Pengine mtoa mada bado ni kijana ndogo kutokumbuka kuwa TANU na hatimaye CCM walitoa matamko yanayolingana na tamko Hilo la Mbowe.

Hata mfano wa Chiluba ni stahili kabisa maana tunakumbuka Chilub alivyojilimbikizia mali hadi suti BAADA ya kuupata urais.
Haikumbukwi kabisa kuwa Chiluba aliingia madarakani na sera au itikadi ipi. Kinachokumbukwa ni chuki Yake kwa UNIP na Kaunda.

Madaraka kitu kingine bana, mtu akiyapata anawasahau wananchi na anafikiria kujilimbikzia Mali.
Kama unabisha fuatilia kwa makini mngawanyo wa ruzuku ndani ya CDM na ndio utelewa.
Nadhani ili kauli ya mbowe ikamilike, inabidi katiba itamke wazi kabisa kwa kuwaondolea kinga watawala. kitu ambacho katiba yetu haijatamka. katiba ikisha tamka hakuna mtawala atakaye thubutu kuchezea mali ya umma.
 
Huo ni ukweli kwani ccm wanatumia fedha za umma vibaya kwani wanajua hawakuja kuwajibishwa.

Ndiyo maana wanatumia kila hila wasitoke madarakani,2015 PIGA KURA LINDA KURA IKAFANYE KAZI,MAJENGO NA VIWANJA VYOTE VITAIFISHWE NA BENDERA YA CCM ICHOMWE MOTO NA KUFUTA CCM.
 
Kwenye hili hatuna mchezo...Mkapa, Lusinde na matusi yake, Makamba, Sumaye, Chenge, JK, Lowassa.......watashtakiwa, tena naamin hawatashinda kesi zao.....wajiandae.

Wenyewe wanajua na ndiyo maana wanakosa usingizi
 
Wanatakiwa wanyongwe bila kupingwa!!!!.maana wanapenda kufanya vitu bila kupingwa,(sihukumu)
 
Wanatakiwa wanyongwe bila kupingwa!!!!.maana wanapenda kufanya vitu bila kupingwa,(sihukumu)

Adhabu hii inatakiwa itamkwe kwenye katiba kama ilivyo china, ndo maana china hakuna mambo ya kijinga
 
Kauli ya Mheshimiwa Mbowe kuwa iwapo CHADEMA kitashika dola mwaka 2015 watawala wote wanaotumia fedha za umma kwa maslahi binafisi watashitakiwa mahakamani na kupewa adhabu stahiki kama ilivyo kwa nchi zingine, itafanya CHADEMA kisiwe nacho chama cha kifisadi kama ambavyo imewahi kutokea katika nchi zingine.

Nakumbuka Chiluba wa Zambia baada ya kuingia madarakani kwa kumwangusha Kaunda, alitumia vibaya fedha za nchi yake yeye na familia yake, na baada ya kutoka madarakani alisota jela.

Najua watawala wa sasa ccm na wale wote wanaofaidi fedha za nchi kifsadi hawatafuraia kauli hii, lakini kwa hakika hiyo ndiyo njia pekee ya kulinda mali ya umma kwa maslahi ya taifa. Nawala hii sio kulipa kisasi kwa watawala waliopo madarakani.


My take: JK aanze kutekeleza kauli hii ya mbowe kabla hajatoka madarakani. Hii itampa heshima baada ya kuachiangazi.

HAKUNA MBADALA WA HILO. Tumeporwa vya kutosha. Kila mmoja wao awajibike ipasavyo.
 
Back
Top Bottom