Victory 1
Member
- Nov 3, 2010
- 21
- 0
Wewe si una macho lakini huoni na una masikio lakini husikii!!!!Tumechoka na uongo wa Dr bana, kama ana data apeleke NEC au aende mahakamani.
Wewe si una macho lakini huoni na una masikio lakini husikii!!!!Tumechoka na uongo wa Dr bana, kama ana data apeleke NEC au aende mahakamani.
pichu ykoHamna uchakachuzi huyo ni Dr asiyekubali kushindwa!
Wahenga walisema Asiyekubali kushindwa..... na Kinana leo TBC Taifa amesema pamoja na kuupata Udokta wa Dini (canon law) safari hii ameupata udokta wa Uzushi...kazi kwelikweliHamna uchakachuzi huyo ni Dr asiyekubali kushindwa!
Kufuatia kauli aliyoitoa dr slaa kua hawatakubaliana na matokeo ya uraisi na ubunge kwa kile anachokidai kua kuna wizi wa waziwazi umefanyika. nategemea yafuatayo yafanyike kama kweli anataka sisi tuliompigia kura tujue kweli chadema ipo kwa ajiri ya watu na sio mtu binafsi.1; wabunge waliochaguliwa kupititia chama hicho wasikubali kuingia bungeni kwa kua zoezi zima halikua huru na haki. la sivyo tutajua kua kila mtu alikua anatafuta kula na sio kura,
2.kama alivyojibu jaji makame kua hajapata malalamiko yoyote toka kwa chadema tafadhali wafanye haraka kulifisha hilo wakiwa na vielelezo vya kutosha.
3. jammii za kimataifa zijulishwe upesi kilichotokea kwa vielelezo maana tayari wameshasema uchaguzi ulikua huru na haki.
4. wajitoe kwa hari na mali kupigania haki yao hiyo mpaka tone la mwisho la damu.
Tumechoka na uongo wa Dr bana, kama ana data apeleke NEC au aende mahakamani.
wahenga walisema asiyekubali kushindwa..... Na kinana leo tbc taifa amesema pamoja na kuupata udokta wa dini (canon law) safari hii ameupata udokta wa uzushi...kazi kwelikweli
Kufuatia kauli aliyoitoa dr slaa kua hawatakubaliana na matokeo ya uraisi na ubunge kwa kile anachokidai kua kuna wizi wa waziwazi umefanyika. nategemea yafuatayo yafanyike kama kweli anataka sisi tuliompigia kura tujue kweli chadema ipo kwa ajiri ya watu na sio mtu binafsi.1; wabunge waliochaguliwa kupititia chama hicho wasikubali kuingia bungeni kwa kua zoezi zima halikua huru na haki. la sivyo tutajua kua kila mtu alikua anatafuta kula na sio kura,
2.kama alivyojibu jaji makame kua hajapata malalamiko yoyote toka kwa chadema tafadhali wafanye haraka kulifisha hilo wakiwa na vielelezo vya kutosha.
3. jammii za kimataifa zijulishwe upesi kilichotokea kwa vielelezo maana tayari wameshasema uchaguzi ulikua huru na haki.
4. wajitoe kwa hari na mali kupigania haki yao hiyo mpaka tone la mwisho la damu.
kufuatia kauli aliyoitoa dr slaa kua hawatakubaliana na matokeo ya uraisi na ubunge kwa kile anachokidai kua kuna wizi wa waziwazi umefanyika. Nategemea yafuatayo yafanyike kama kweli anataka sisi tuliompigia kura tujue kweli chadema ipo kwa ajiri ya watu na sio mtu binafsi.1; wabunge waliochaguliwa kupititia chama hicho wasikubali kuingia bungeni kwa kua zoezi zima halikua huru na haki. La sivyo tutajua kua kila mtu alikua anatafuta kula na sio kura,
2.kama alivyojibu jaji makame kua hajapata malalamiko yoyote toka kwa chadema tafadhali wafanye haraka kulifisha hilo wakiwa na vielelezo vya kutosha.
3. Jammii za kimataifa zijulishwe upesi kilichotokea kwa vielelezo maana tayari wameshasema uchaguzi ulikua huru na haki.
4. Wajitoe kwa hari na mali kupigania haki yao hiyo mpaka tone la mwisho la damu.
hawana data za kuosha kelele tu
kusua kuingia bungeni ndio upuuzi kabisa. Toka lini ccm waliacha kuiba kura? Lakini kidogo kidogo ukombozi umeendelea kupatikana kila baada ya uchaguzi licha ya wizi wa kura uliofanyika. Mathalani mwaka 2000 kama akina dr slaa, zitto na wabunge wengine wa upinzania wangesusa kuingia bungeni kwa madai ya wizi wa kurakama unavyoshauri kashafa zote zilizofichuliwa yaani epa, richnmond, n.k zisingejulikana na raslimali za tanzania hususan madini visingeboreshewa utaratibu wa ke kwa nia ya kuliongezea taifa mapato.
Yaani timu ya chadema ikisusa kuingia bungeni ndio mafisadi watasherehekea.
Nina wasi wasi hoja ya kususa kuingia bungeni inaanzishwa na uwt waliohusika kuiba kura zetu kwa nia ya kuvunja nguvu na mshikamano wa wanachadema.
pichu yko
Umemjibu vizuri kweli! na mie ngoja nimuongeze.......'kengele/kitumbua chako'!
say thanx to my post..
nazan jamaa imebaki kidogo tutamchakachua kijambio chake
data hizi hapa chache
Kwa mujibu wa Dk Slaa, ambaye pia ni katibu mkuu wa Chadema, chama chake kimekuwa kikifuatilia kwa makini matokeo hayo na kugundua wizi mkubwa wa kura kwenye nafasi za urais na ubunge.
Mgombea huyo wa urais, ambaye mara nyingi hujenga hoja kwa kutumia ushahidi, alisema moja ya maeneo waliyogundua kuwepo kwa wizi wa kura ni matokeo ya Jimbo la Geita lililo mkoani Mwanza ambako alidai Nec ilitangaza kuwa kwenye uchaguzi wa rais, CCM imepata kura 17,792 na Chadema kura 3,789.
Lakini akasema kwa mujibu wa fomu walizonazo ambazo zilisainiwa na mawakala wao kwenye kata 20 za jimbo hilo, CCM ilipata kura 30,960 na Chadema 15,736.
"Nashangaa Nec wanatangaza matokeo haya kutoka wapi? Hayo ya Geita ni moja tu. Kule Hai, fomu zinaonyesha kwenye urais CCM ina kura 20,120 na Chadema 26,724, lakini Nec imetangaza kuwa CCM ina kura 35,910 na Chadema kura 18,513," alisema Dk Slaa huku akionyesha baadhi ya fomu kwa waandishi wa habari.
Dk Slaa pia alitoa mfano aliodai kuwa wizi wa kura katika kituo namba 00070103 cha Ubungo jijini Dar es Salaam na kueleza kuwa fomu 24A inaonyesha CCM wamepata kura 68,727 na Chadema 65,450, lakini matokeo ya kata za Ubungo yanaonyesha CCM ina kura 70,472 na Chadema 72,252.
Dk Slaa alisema mbali na Ubungo, tatizo hilo pia alidai liko Kigoma Mjini ambako Chadema imeshinda kwa zaidi ya kura 500, lakini "matokeo yalichakachuliwa na kusababisha vurugu hadi askari wakawapiga mabomu wafuasi wa Chadema".
Pia alisema kwenye Jimbo la Segerea, ambako matokeo yalicheleweshwa kwa siku mbili na kutangazwa usiku wa manane juzi, mambo ni mabaya zaidi kwa kuwa fomu 21 A na B hazikuwepo na wasimamizi walikwenda nazo majumbani kulala.
"Kiwalani fomu hazikuwepo na matokeo hayakuonekana. Kipawa vituo vinne matokeo hayakuonekana na Vingunguti kuna vituo saba na Tabata vituo viwili ambako matokeo hayakuonekana," alisema Dk Slaa.
Aliongeza kusema: "Hali kama hiyo pia imetokea Morogoro Mjini. Matokeo hayajaonekana na yametangazwa tu. Kibakwe na Kiteto mgombea hakushirikishwa katika kutangaza matokeo.
"Hayo ni majimbo ya mifano tu. Yapo majimbo mengi na kutokana na hali hiyo, Chadema imetoa tahadhari kwa Tume na vyombo vya ulinzi na usalama kuwa taratibu hazijafuatwa na nyingi zimevunjwa."
Dk Slaa alisema kuwa ni muhimu waangalizi wote wa uchaguzi wakatoa taarifa zao hadharani ili kusaidia nchi na kumtaka mkuu wa Jeshi la Polisi kuendesha chombo hicho cha dola kwa haki na maadili waliyosaini.
Baadaye mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alisema kuwa kauli hiyo ya Dk Slaa ni tamko rasmi la Chadema.
Kutoka Mwananchi la leo
kumbe hapa kuna ma great thinkers wa matusi.
Argue bwana mdogo do not shout!
Azipeleke mahakamani zikathibitishwe, hatutaki RAW DATA hapa , please !