Kwa Heri CCM

Kwa Heri CCM

Sikutambua

Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
46
Reaction score
5
Ukweli Ni Kwamba Kwa Yanayoendelea Tanzania Ccm Ijiandae Kukabidhi Madaraka Kwa Upinzani October 2015.
 
Ni kweli mkuu, kwanza wsmechagua mtu ambaye si chaguo lao kwa hakika, pili hakuwa hata kwenye vupaumbele vya chaguo lao, tatu kapita accidentally kuepusha vurugu na si kwamba wanaamini kuwa ni mwenye kufaa!


Bila kupepesa macho na kumumunya maneno CCM byebye!
 
Ukweli Ni Kwamba Kwa Yanayoendelea Tanzania Ccm Ijiandae Kukabidhi Madaraka Kwa Upinzani October 2015.
 
Habari nilizozipata nikwamba lowassa amesema uvumilivu sasa tosha,muda wowote sasa naye kumwaga mboga
 
Habari nilizozipata nikwamba lowassa amesema uvumilivu sasa tosha,muda wowote sasa naye kumwaga mboga

Hana maamuzi hayo magumu. Yeye kukaa kimya ndio huita maamuzi magumu na kweli inahitaji mtu taahira kuvumilia maumivu.
 
Ni kweli mkuu, kwanza wsmechagua mtu ambaye si chaguo lao kwa hakika, pili hakuwa hata kwenye vupaumbele vya chaguo lao, tatu kapita accidentally kuepusha vurugu na si kwamba wanaamini kuwa ni mwenye kufaa!


Bila kupepesa macho na kumumunya maneno CCM byebye!

yaan hapo wengi wametoka na manung'uniko,tabasam uson simanzi rohoni,kilichowaponza ubungo,ndio kinaenda kuwamaliza oktoba,so long magamba.
 
Ukweli Ni Kwamba Kwa Yanayoendelea Tanzania Ccm Ijiandae Kukabidhi Madaraka Kwa Upinzani October 2015.

Ni kweli mkuu, kwanza wsmechagua mtu ambaye si chaguo lao kwa hakika, pili hakuwa hata kwenye vupaumbele vya chaguo lao, tatu kapita accidentally kuepusha vurugu na si kwamba wanaamini kuwa ni mwenye kufaa!


Bila kupepesa macho na kumumunya maneno CCM byebye!

..r.i . p ccm...

Yapi hayo aisee

pumzika kwa amani

Yaani umemaliza mkuu

yaan hapo wengi wametoka na manung'uniko,tabasam uson simanzi rohoni,kilichowaponza ubungo,ndio kinaenda kuwamaliza oktoba,so long magamba.

Ile voice call ya zitto akiongea na mtu wa arusha anaenda kumpokea lowasa mmesikia?mzee anaweza kufanya maamuzi magumu
 
Ukweli Ni Kwamba Kwa Yanayoendelea Tanzania Ccm Ijiandae Kukabidhi Madaraka Kwa Upinzani October 2015.

Nani anabisha kuwa DEAL ya kupata candidate aliye mtaka MKULU imekufa bila kutegemewa?
MKULU hakutegemea kuwa baadhi ya wanakamati wa CC watatoka nje na kueleza kutofuatwa kwa taratibu za kuwapata 5 bora. Ilikuwa ni kama imetoka kwa Mwenyezi Mungu yaani hao (DR. Nchimbi, Mhs Sofia Simba na Mhs Adam …..) WALIKUWA MALAIKA WAKE!

WANA JF hatuna budi kuwashukuru hawa jamaa hata kama walikuwa wako kwenye kambi ya EL. Maana bila hivyo huyo jamaa wa KUSINI alisha tayarishwa! Imekula kote yaani kwa MUKULU pamaoja na EL.
 
Ile voice call ya zitto akiongea na mtu wa arusha anaenda kumpokea lowasa mmesikia?mzee anaweza kufanya maamuzi magumu

tumeskia ila we huoni ni kama hajiamin hiv,anawaambia tuu,muende mmobolise,kama hana uhakika,mwanzo ckujua ila lowwas,ni mtu powerful sana,pamoja na makandokando yake
 
Ni kweli mkuu, kwanza wsmechagua mtu ambaye si chaguo lao kwa hakika, pili hakuwa hata kwenye vupaumbele vya chaguo lao, tatu kapita accidentally kuepusha vurugu na si kwamba wanaamini kuwa ni mwenye kufaa!


Bila kupepesa macho na kumumunya maneno CCM byebye!

Nilisema jana "it is not over until it is over" bade yakunukuu kipping kimono BBC "They think it is all over". Sijui kama mmejiuliza bona Kingunge, Nchimbi na EL mwenyewe hawapo wrote? Coincidence, wamechukuia ama capo knew mipango ya plan B? Sofi anaweza kuwa ni wa kuzuga tu. Ni quell tusubilie wiki nzima ii taken akimbo tug basic kwishne.
 
Back
Top Bottom