medical doctor
Member
- Jan 17, 2016
- 24
- 23
Ninaamini watanzania hawajali nchi yao. Viongozi wanaiba hakuna anaejali, na viongozi wanaiba kwa sababu raia hawajali.
1. Kwa namna gani unaweza fukuza watendaji wa bandari na waziri husika kupangiwa wizara nyingine?
2. Kama bei ya mafuta imeshuka toka 150 to 30 barrel mbn Tanzania iko pale pale?nani yuko nyuma ya hii hujuma?na RAIA wako kimya hawasemi lolote wanaendelea kusifia ujinga.
3. Kama bwana mkubwa ni msafi kwnn wizara yake imepatikana na ubadhirifu ripoti ya CIG?uadilifu wako uko WAP?
4. Je, bwana mkubwa ataletaje maendeleo wakati amefka hapo kwa kubebwa na haijulikani nia katangazia wapi? Atawakana vipi waliomfikisha hapo alipo?
5. Je, tangu makontena yakamatwe bandarini, wananchi wamepata unafuu gani kimaisha? Waliohusika wamechukuliwa hatua gani kama wahujumu uchumi? Je hii ina tofauti gani na Kikwete aliposema walioiba warudishe?
6. Je, ni kweli bwana mkubwa hasafiri nje kwa sababu ana uchungu na sisi? Je, hili haliwezi husishwa na uoga wa kupanda ndege? Kumbuka kipindi cha kampeni bwana mkubwa alikataa helikopta. je ni uoga au uzalendo?
7. Mbona tangu aingie madarakani mambo huko Zenji yamekwama? Kama ni mzalendo kwanini asivunje katiba ya Zanzibar na kuamuru mshindi atangazwe kama kwl mpenda haki?
8. Amesema atakuwa Rais wa wote, mbona upinzani bado wanagandamizwa kwny uchaguz wa mameya? Haki iko wapi?
9. Kama yeye mzalendo, kwanini asikubali katiba mpya? Badala yake wananchi weng wasio na elimu juu ya mambo ya utawala wanashabikia?
10. Na mwisho mpaka sasa hivi sioni unafuu kwenye vifaa vya ujenzi. Je tatizo liko wapi?
1. Kwa namna gani unaweza fukuza watendaji wa bandari na waziri husika kupangiwa wizara nyingine?
2. Kama bei ya mafuta imeshuka toka 150 to 30 barrel mbn Tanzania iko pale pale?nani yuko nyuma ya hii hujuma?na RAIA wako kimya hawasemi lolote wanaendelea kusifia ujinga.
3. Kama bwana mkubwa ni msafi kwnn wizara yake imepatikana na ubadhirifu ripoti ya CIG?uadilifu wako uko WAP?
4. Je, bwana mkubwa ataletaje maendeleo wakati amefka hapo kwa kubebwa na haijulikani nia katangazia wapi? Atawakana vipi waliomfikisha hapo alipo?
5. Je, tangu makontena yakamatwe bandarini, wananchi wamepata unafuu gani kimaisha? Waliohusika wamechukuliwa hatua gani kama wahujumu uchumi? Je hii ina tofauti gani na Kikwete aliposema walioiba warudishe?
6. Je, ni kweli bwana mkubwa hasafiri nje kwa sababu ana uchungu na sisi? Je, hili haliwezi husishwa na uoga wa kupanda ndege? Kumbuka kipindi cha kampeni bwana mkubwa alikataa helikopta. je ni uoga au uzalendo?
7. Mbona tangu aingie madarakani mambo huko Zenji yamekwama? Kama ni mzalendo kwanini asivunje katiba ya Zanzibar na kuamuru mshindi atangazwe kama kwl mpenda haki?
8. Amesema atakuwa Rais wa wote, mbona upinzani bado wanagandamizwa kwny uchaguz wa mameya? Haki iko wapi?
9. Kama yeye mzalendo, kwanini asikubali katiba mpya? Badala yake wananchi weng wasio na elimu juu ya mambo ya utawala wanashabikia?
10. Na mwisho mpaka sasa hivi sioni unafuu kwenye vifaa vya ujenzi. Je tatizo liko wapi?