Kwa haya, Rais Magufuli hatufai kama ni wenye kutafakari

Sisi watanzania tumempima Rais Magufuli na tumeamua kuwa pekee anatosha 2020, kwa sababu:

1. Miaka minne ya utawala wake imeonekana hali ya màisha ya mtanzania mnyonge imeboreka kuliko wakati wowote na hii ni kutokàna na hulka ya Rais wetu kujali kundi hilo kubwa la watanzania. Baadhi ya watanzania walizoea kuishi kiujanjaujanja kwa kukwepa Kodi na kufanya shughuli zisizo rasmi. Watu Hawa ndio wanàona Magufuli kàbana

2. Kwa maana ya ajira ,Serikali ya awamu ya tano imejitahidi kuboresha mazingira ya sekta binafsi kukua hasa kuzalisha ajira kupitia sekta isiyo rasmi kama ujasiriamali na biashara ndogondogo. Pamoja na hili, Serikali pia imejitahidi kutoa ajira za muda mfupi na zile za kudumu.

3. Suala la usalama ni jukumu la kila mtu kwa sababu wanaohatàrisha usalama ni wanajamii wenzatu tunaishi nao na wengine wanafichwa na sisi wenyewe, hatushirikiani na serikali kuwafichua hii inaaminisha hao watu kuwa wapo salama. Tukija kwenye matukio kama Kibiti na mapango ya amboni tumeona kwa kiasi gani Serikali ipo makini kukomesha vitendo viovu.

4. Chombo chà kutazamia kuwa Kuna utawala wa sheria na katiba inaheshimiwa ni mahakàmà. Hakuna uthibitisho wowote wa kesi yeyote ya kimahakama kuhusu kesi iliyofunguliwa kwamba Serikali imevunja sheria na katiba. Kinachofanyika ni kuchagua Serikali kupitia siasa za majitaka.

4. Hakuna uhuru usio na mipaka na mipaka ya media na watu unàwekwa nà sheria na katiba. Kama taifa ,tutaonekana hatuko makini kama tutaruhusu watu au media kuropoka uzushi nà uzandiki kila wanapotaka kufanya hivyo.
Hata wewe unaandika hali ya kuwa unajua kuwa unadanganya, tena unadanganya waziwazi. Hizo points zako kawaambie UVCCM wenzio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
4. Hakuna uhuru usio na mipaka na mipaka ya media na watu unàwekwa nà sheria na katiba. Kama taifa ,tutaonekana hatuko makini kama tutaruhusu watu au media kuropoka uzushi nà uzandiki kila wanapotaka kufanya hivyo.
Ukisha sema uhuru una mipaka maana yake tayari ni utumwa. Uhuru unatafsiriwa kama uwezo au haki ya kutenda, kufikiria au kuongea namna mtu anavyoyaka (the power or right to act, speak, or think as one wants).

Hakuna tafsiri zaidi ya hiyo. Kwenye utawala bora Serikali hulazimika kutunga na kuweka sheria juu ya namna ya kulinda uhuru huo. Mtu akivunja sheria hushtakiwa Mahakamani kadri ya sheria aliyovunja.

Huyu Eric Kabendera katoa mawazo yake kwa mujibu wa sheria. Jiwe hajapendezewa nayo akaamuru akamatwe na ashtakiwe kwa kutakatisha fedha na siyo kwa maoni aliyotoa. Hiyo siyo haki bali ni UDIKTETA.

Magufuli HATUFAI, mwisho ni Oktoba 2020
 
Ameweza kuwa LIJIZI la trillion zetu 2,4.
Magufuli alishafeli kabla ya kuanza, hawezi na hatoweza.
Na vile yupo CHAMA CHA MAJIZI na MAFISADI =CCM ya Magufuli. Pole yetu Watanganyika, imekula kwetu.
 
Sisi watanzania tumempima Rais Magufuli na tumeamua kuwa pekee anatosha 2020, kwa sababu:

1. Miaka minne ya utawala wake imeonekana hali ya màisha ya mtanzania mnyonge imeboreka kuliko wakati wowote na hii ni kutokàna na hulka ya Rais wetu kujali kundi hilo kubwa la watanzania. Baadhi ya watanzania walizoea kuishi kiujanjaujanja kwa kukwepa Kodi na kufanya shughuli zisizo rasmi. Watu Hawa ndio wanàona Magufuli kàbana

2. Kwa maana ya ajira ,Serikali ya awamu ya tano imejitahidi kuboresha mazingira ya sekta binafsi kukua hasa kuzalisha ajira kupitia sekta isiyo rasmi kama ujasiriamali na biashara ndogondogo. Pamoja na hili, Serikali pia imejitahidi kutoa ajira za muda mfupi na zile za kudumu.

3. Suala la usalama ni jukumu la kila mtu kwa sababu wanaohatàrisha usalama ni wanajamii wenzatu tunaishi nao na wengine wanafichwa na sisi wenyewe, hatushirikiani na serikali kuwafichua hii inaaminisha hao watu kuwa wapo salama. Tukija kwenye matukio kama Kibiti na mapango ya amboni tumeona kwa kiasi gani Serikali ipo makini kukomesha vitendo viovu.

4. Chombo chà kutazamia kuwa Kuna utawala wa sheria na katiba inaheshimiwa ni mahakàmà. Hakuna uthibitisho wowote wa kesi yeyote ya kimahakama kuhusu kesi iliyofunguliwa kwamba Serikali imevunja sheria na katiba. Kinachofanyika ni kuchagua Serikali kupitia siasa za majitaka.

4. Hakuna uhuru usio na mipaka na mipaka ya media na watu unàwekwa nà sheria na katiba. Kama taifa ,tutaonekana hatuko makini kama tutaruhusu watu au media kuropoka uzushi nà uzandiki kila wanapotaka kufanya hivyo.
Na usishangae wewe ukawa ndo mtu mjinga zaidi diniani
 
Ukisha sema uhuru una mipaka maana yake tayari ni utumwa. Uhuru unatafsiriwa kama uwezo au haki ya kutenda, kufikiria au kuongea namna mtu anavyoyaka (the power or right to act, speak, or think as one wants).

Hakuna tafsiri zaidi ya hiyo. Kwenye utawala bora Serikali hulazimika kutunga na kuweka sheria juu ya namna ya kulinda uhuru huo. Mtu akivunja sheria hushtakiwa Mahakamani kadri ya sheria aliyovunja.

Huyu Eric Kabendera katoa mawazo yake kwa mujibu wa sheria. Jiwe hajapendezewa nayo akaamuru akamatwe na ashtakiwe kwa kutakatisha fedha na siyo kwa maoni aliyotoa. Hiyo siyo haki bali ni UDIKTETA.

Magufuli HATUFAI, mwisho ni Oktoba 2020
you are right,jiwe hakupaswa kupewa nafasi kubwa ya maamuzi kama urais,angepewa uwaziri tu,urais ni viatu vikubwa sana kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameua sana sekta binafsi,tulio kwenye sekta hizi wanajua nini naongea.sasa hivi amekuja na hii sera ya gawio kutoka haya mashirika ya umma ndio moto mwingine,haya mashirika ni mwendo wa kuchochea moto.Mwaka huu tumeshindwa fanya stuffing ya korosho tumeinua mikono wenyewe ,sio kwa ujinga huo
 
Mkuu
Amini nakuambia, wale Mbwa wa Lumumba watakuja kukunyea na mvua ya Matusi.
 
Sisi watanzania tumempima Rais Magufuli na tumeamua kuwa pekee anatosha 2020, kwa sababu:

1. Miaka minne ya utawala wake imeonekana hali ya màisha ya mtanzania mnyonge imeboreka kuliko wakati wowote na hii ni kutokàna na hulka ya Rais wetu kujali kundi hilo kubwa la watanzania. Baadhi ya watanzania walizoea kuishi kiujanjaujanja kwa kukwepa Kodi na kufanya shughuli zisizo rasmi. Watu Hawa ndio wanàona Magufuli kàbana

2. Kwa maana ya ajira ,Serikali ya awamu ya tano imejitahidi kuboresha mazingira ya sekta binafsi kukua hasa kuzalisha ajira kupitia sekta isiyo rasmi kama ujasiriamali na biashara ndogondogo. Pamoja na hili, Serikali pia imejitahidi kutoa ajira za muda mfupi na zile za kudumu.

3. Suala la usalama ni jukumu la kila mtu kwa sababu wanaohatàrisha usalama ni wanajamii wenzatu tunaishi nao na wengine wanafichwa na sisi wenyewe, hatushirikiani na serikali kuwafichua hii inaaminisha hao watu kuwa wapo salama. Tukija kwenye matukio kama Kibiti na mapango ya amboni tumeona kwa kiasi gani Serikali ipo makini kukomesha vitendo viovu.

4. Chombo chà kutazamia kuwa Kuna utawala wa sheria na katiba inaheshimiwa ni mahakàmà. Hakuna uthibitisho wowote wa kesi yeyote ya kimahakama kuhusu kesi iliyofunguliwa kwamba Serikali imevunja sheria na katiba. Kinachofanyika ni kuchagua Serikali kupitia siasa za majitaka.

4. Hakuna uhuru usio na mipaka na mipaka ya media na watu unàwekwa nà sheria na katiba. Kama taifa ,tutaonekana hatuko makini kama tutaruhusu watu au media kuropoka uzushi nà uzandiki kila wanapotaka kufanya hivyo.
Ungejaribu kutembelea shule za msingi na sekondari huku vijijini ukaona zilivyo na msongamano wa wanafunzi darasani huku nyingi zikiwa na upungufu mkubwa wa walimu na madarasa ndo ungejua kuwa uchumi umeimarika au umeporomoka..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mpuuzi ni kwa vile tu aliingia madarakani kwa MABAVU, huyu alipaswa kuwa NYAMPARA si Rais. Rais anapaswa kuhakikisha usalama wa Raia wake, huduma za kijamii kwa Wananchi wake wote bila ya UBAGUZI, Utawala unaoheshimu KATIBA YA NCHI, Haki za Binadamu n.k
Huyu MWENDAWAZIMU hakuna hata moja analolizingatia kati ya hayo, badala yake amejikita kwenye UBABE, VITISHO, KUGAWA WANANCHI, KUPOTEZA WAKOSOAJI, UKATILI KWA WANANCHI na mambo mengine mengi ya hovyo hovyo.
Hivi jamani si huwaga linapita hapa jukwaani? Haki ya nani litakuwa limefura kama kifutu! Jamaa la hovyo sana hakuna ubishi, lime-fail big time! Kwansi lilivyo na akili ndogo linajiona linafanya maajabu!
 
Ajira unataka ziweje ndg,unemployment ni case ya dunia na hasa kwa mataifa kama yetu madogo, mbona malamiko ni mengi pasipo ukweli,,moja tu ambalo nitariridhia swala la matukio ya utekaji katika awamu hii na uhuru wa vyombo vya habari kidgo umezorota,hivi kweli mbona kazi zipo tu na maisha yanaenda, nin kimeharibika toka 2005 miaka ya jk mpaka leo kinachoashiria kbs kwamba hali ni mbaya,mfumuko wa bei ni wa kawaida tu,,raisi awe anagawa mandazi mtaani?
Habari za asubuhi.

Sisi watanzania tuna tatizo kubwa sana la kufikiri na kuchambua mambo. Uzuri wa Rais haupimwi kwa

1. Kujenga miundombinu maana ndio kazi yao na wana tumia kodi zetu. Mtu hana hata aibu kusema Rais kajenga barabara, flyover na madaraja sasa wewe ulitaka afanye nini kama Rais.

2. Kudhibiti ufisadi na matumizi mabaya ya serikali ni kazi ya Rais wala sio favour kwa Watanzania.

3. Kuhamia Dodoma ni utashi wake binafsi wala halina impact yoyote kwa maisha ya mtanzania ila ni kutaka sifa tuu

4. Kujenga hospitali au mashule ni kazi ya serikali kwa kutumia kodi za wananchi.

TUKITOA HAYO RAIS MAGUFULI KAFANYA NINI CHA MAANA ??

RAIS MZURI HUPIMWA KWA :

1. Kuboresha maisha ya watu hasa mtu mmoja mmoja.

2. Kutengeneza ajira za kutosha nchini ( sote mashuhuda kwa hili jinsi Rais Trump anavyojivunia)

3. Kulinda usalama wa wananchi na Mali zao. ( hapa kafeli vibaya sanaa maana kuna wenzetu wameumizwa vibaya na wengine kuuwawa au kupotea)

4. Kulinda katiba na sheria

5. Uhuru wa wananchi, media na vyombo vya habari.

RAIS MAGUFULI KAFANYA YEPI KATI YA HAYO HAPO JUU ???

Watanzania tuache ujinga tuipende na kuilinda Nchi yetu tusiwe wanyonge kwenye Nchi yetu wenyewe na kuleta sifa za kijinga kisa wewe umeshiba ugali wa Jana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Badala ya kukuza uchumi na kujenga misingi imara ya kuelendelea kukua kwa uchumi wetu yeye ndo yuko busy kuharibu kwa kutumia mihemko yake ya kishamba,Kaua soko la zao la korosho, kahawa, mbaazi,tumbaku,Kaua sector ya madini kisa definition zake za catalysit na smelter, kaua kilimo kaua sector binafsi,kaharibu mahusiano na wadau wetu wa maendeleo and as a result ujenzi wa barabara ya njia sita Dar chalinze umeahirishwa kwa muda usiojulikana, yaani kwa kifupi he is so good for petty issue and so poor to all must do things
Aliahidi Malaika kuishi kama Mashetani
Hivyo anatekeleza
 
Hivi jamani si huwaga linapita hapa jukwaani? Haki ya nani litakuwa limefura kama kifutu! Jamaa la hovyo sana hakuna ubishi, lime-fail big time! Kwansi lilivyo na akili ndogo linajiona linafanya maajabu!
Be careful watch it
Kama mnadhani uhuru ndo hivo not to that extent😅😅😂
 
Back
Top Bottom