Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,184
- 3,517
Habari za asubuhi.
Sisi watanzania tuna tatizo kubwa sana la kufikiri na kuchambua mambo. Uzuri wa Rais haupimwi kwa
1. Kujenga miundombinu maana ndio kazi yao na wana tumia kodi zetu. Mtu hana hata aibu kusema Rais kajenga barabara, flyover na madaraja sasa wewe ulitaka afanye nini kama Rais.
2. Kudhibiti ufisadi na matumizi mabaya ya serikali ni kazi ya Rais wala sio favour kwa Watanzania.
3. Kuhamia Dodoma ni utashi wake binafsi wala halina impact yoyote kwa maisha ya mtanzania ila ni kutaka sifa tuu
4. Kujenga hospitali au mashule ni kazi ya serikali kwa kutumia kodi za wananchi.
TUKITOA HAYO RAIS MAGUFULI KAFANYA NINI CHA MAANA ??
RAIS MZURI HUPIMWA KWA :
1. Kuboresha maisha ya watu hasa mtu mmoja mmoja.
2. Kutengeneza ajira za kutosha nchini ( sote mashuhuda kwa hili jinsi Rais Trump anavyojivunia)
3. Kulinda usalama wa wananchi na Mali zao. ( hapa kafeli vibaya sanaa maana kuna wenzetu wameumizwa vibaya na wengine kuuwawa au kupotea)
4. Kulinda katiba na sheria
5. Uhuru wa wananchi, media na vyombo vya habari.
RAIS MAGUFULI KAFANYA YEPI KATI YA HAYO HAPO JUU ???
Watanzania tuache ujinga tuipende na kuilinda Nchi yetu tusiwe wanyonge kwenye Nchi yetu wenyewe na kuleta sifa za kijinga kisa wewe umeshiba ugali wa Jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi watanzania tuna tatizo kubwa sana la kufikiri na kuchambua mambo. Uzuri wa Rais haupimwi kwa
1. Kujenga miundombinu maana ndio kazi yao na wana tumia kodi zetu. Mtu hana hata aibu kusema Rais kajenga barabara, flyover na madaraja sasa wewe ulitaka afanye nini kama Rais.
2. Kudhibiti ufisadi na matumizi mabaya ya serikali ni kazi ya Rais wala sio favour kwa Watanzania.
3. Kuhamia Dodoma ni utashi wake binafsi wala halina impact yoyote kwa maisha ya mtanzania ila ni kutaka sifa tuu
4. Kujenga hospitali au mashule ni kazi ya serikali kwa kutumia kodi za wananchi.
TUKITOA HAYO RAIS MAGUFULI KAFANYA NINI CHA MAANA ??
RAIS MZURI HUPIMWA KWA :
1. Kuboresha maisha ya watu hasa mtu mmoja mmoja.
2. Kutengeneza ajira za kutosha nchini ( sote mashuhuda kwa hili jinsi Rais Trump anavyojivunia)
3. Kulinda usalama wa wananchi na Mali zao. ( hapa kafeli vibaya sanaa maana kuna wenzetu wameumizwa vibaya na wengine kuuwawa au kupotea)
4. Kulinda katiba na sheria
5. Uhuru wa wananchi, media na vyombo vya habari.
RAIS MAGUFULI KAFANYA YEPI KATI YA HAYO HAPO JUU ???
Watanzania tuache ujinga tuipende na kuilinda Nchi yetu tusiwe wanyonge kwenye Nchi yetu wenyewe na kuleta sifa za kijinga kisa wewe umeshiba ugali wa Jana.
Sent using Jamii Forums mobile app