baba aura
JF-Expert Member
- Aug 5, 2023
- 227
- 346
Habari wakuu na poleni na changamoto za kimaisha .
Rejea hapo juu kwa kweli kwa mwenenendo huu wa Umeme taifa linaangamia, kwa nn anasema taifa linaangamia ni kwa sababu asilimia kubwa ya vijana wasio na ajira wanatumia umeme (wanategemea Umeme) kulipa kodi,kuitunza familia nk.
Sasa kwa hali hii ya Umeme Mara umekatika Mara umewaka na ukiwaka gafla hupelekea kuungua kwa baadhi ya vyombo/vitu vinavyotumia Umeme na hii huleta hasara sana
Tanesco tunaombembeni hata muwe mnatoa taarifa au wekeni ratiba ili tujue
Mwanambarali
Rejea hapo juu kwa kweli kwa mwenenendo huu wa Umeme taifa linaangamia, kwa nn anasema taifa linaangamia ni kwa sababu asilimia kubwa ya vijana wasio na ajira wanatumia umeme (wanategemea Umeme) kulipa kodi,kuitunza familia nk.
Sasa kwa hali hii ya Umeme Mara umekatika Mara umewaka na ukiwaka gafla hupelekea kuungua kwa baadhi ya vyombo/vitu vinavyotumia Umeme na hii huleta hasara sana
Tanesco tunaombembeni hata muwe mnatoa taarifa au wekeni ratiba ili tujue
Mwanambarali