nimekuwa nikifuatilia kwenye vyombo vya habari jinsi suala la ugonjwa wa mh. Mwakyembe jinsi linavyopelekwa ni dhahili inaonekana kuna namna wananchi tunalazimisha tuwe wepesi wa kuamini giza ni mwanga.
Waziri huyu anasema hili mwingine anasema vile utafikili wanafanya kazi ktk serikali tofauti, ndugu wana jf kwa sakata hili nimejikuta nakosa imani kabisa na taarifa zilizosababisha vifo vya waheshimiwa wengine kwa mfano.
Mh. Kolimba.
Mh. Chacha wangwe.
Mh. Kambona.
Mh.kombe.
Mh.balali.
Na wengineo !
Hivyo basi kwa kuwa serikali yetu imekuwa na tabia ya kupotosha ukweli, naomba mwenye kujua ukweli na uhalisia wa vifo vya hawa ndugu zetu basi naomba auweke hapa.
Pia unaweza ongeza na mtu mwingine ambaye kifo na taarifa ya kifo chake havikwenda sawia.
Asanteni......!
Jeshi la makafiri tu siku hizi
Mkuu, hapo kwenye red ingesomeka nawasilisha ndio ingekaa vizuri. Ok, turudi kwenye hoja.
Support unayotaka wapewa ipo ila wao ndio wanashindwa kui-unleash kutokana na circle wanayojihusisha nayo. Kwanza watoke huko walipo ili waungane na hao wapenda haki na wanaharakati. Hili likifanyika, hayo unayoyataka yatatokea tu
I agree with uKwani ameomba msaada kwa wananchi akanyimwa? Ila mimi nitampa msaada kama akitoka CCM,kwasababu itakuwa ni ujinga kukaa kwenye sehemu ambayo wanatamani roho yako halafu unalalamika.Hatumuelewi.
nimekuwa nikifuatilia kwenye vyombo vya habari jinsi suala la ugonjwa wa mh. Mwakyembe jinsi linavyopelekwa ni dhahili inaonekana kuna namna wananchi tunalazimisha tuwe wepesi wa kuamini giza ni mwanga.
Waziri huyu anasema hili mwingine anasema vile utafikili wanafanya kazi ktk serikali tofauti, ndugu wana jf kwa sakata hili nimejikuta nakosa imani kabisa na taarifa zilizosababisha vifo vya waheshimiwa wengine kwa mfano.
Mh. Kolimba.
Mh. Chacha wangwe.
Mh. Kambona.
Mh.kombe.
Mh.balali.
Na wengineo !
Hivyo basi kwa kuwa serikali yetu imekuwa na tabia ya kupotosha ukweli, naomba mwenye kujua ukweli na uhalisia wa vifo vya hawa ndugu zetu basi naomba auweke hapa.
Pia unaweza ongeza na mtu mwingine ambaye kifo na taarifa ya kifo chake havikwenda sawia.
Asanteni......!
Toa chai zako za vijiweni hapa! Unafikiri kijiwe cha gahawa hiki? Eti kikosi kilichomuua Osama nacho kimeuawa!! Ama kweli vijana mnapenda porojo uchwara!Hakuna haja ya kuongezea. Lakini unatakiwa ukumbuke kuwa sometimes watu wanauawa kwa ajili ya amani na utulivu wa nchi. Hata kile kikosi tulichoambiwa kuwa kimemuua Osama Bin Laden, nacho kimeuawa kwa sababu ya kiusalama. Inaelekea hao jamaa uliowataja hapo juu wana siri nzito na walikuwa hawaaminiwi saana na watawala. Watu kama Kolimba, Balali, Kombe na wengineo, walikuwa na siri nzito saana.
....
MWENZETU ANAHITAJI BACKUP YA WAPENDA HAKI WOTE NA WANAHARAKATI ILI HAKI ITENDEKE NA VITENDO KAMA HIVYO VISITOKEE TENA.
NAWAKILISHA
Sawa lakini kumbuka huyu ni mwanasheria aliyebobea kama ulivyosema. Na ni kiongozi wa serikali. Sasa kama yeye anahitaji backup ya wapenda haki. Na wapenda haki wnanchi wa kawiada back up wataipata wapi.
Kama mtu ambaye nina uhaika hata bila uwaziri hana shida ya mlo basi anatakiwa ajiback yeye mwenywe kwanza. Aonyeshe hajaridhishwa na utendaji wa vyomo husika atika suala lake .... si tu kwa maneno bali kwa vitendo......... alafu waanchi watampa hiyo backup