Kwa faulo hii ya chamoue pls karia na wanaohusika huyu refa wa leo kama troure wa afcon kabisa ...aisee aondolewe

Kwa faulo hii ya chamoue pls karia na wanaohusika huyu refa wa leo kama troure wa afcon kabisa ...aisee aondolewe

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Leo nimeona kitu cha ajabu ila kwa kuwa hakina mda mrefu nimetoka kuona haya haya afcon tstars vs moroco


Mpendwa kaka karia tufike wakati hawa waamuzi msiwabebe tu ili mradi wako znz kama hawana hadhi timue kule


Kuna rafu inasambaa mchezaji wa simba amemchezea wa azam ile n dir redkard


Kwa mwendo huu nashauri ru maamuzi mnayo nyie


Afungiwe mechi 5



Alimwe mil moja



Na yule mchezaji aliecheza rafuale mechi 5 nje



Apigwe faini mil 5



Hizi rafu simba wamefanya n biashara kwao wanapoona mechi hawaiwezi wamefundishwa kuumiza watu



Najua mna rekodi wako kadhaa wana mechi 5 mfukoni na mil 1 zenu



Hawa watu wekeni mili 5 na mechi 5



Akirudia mara ya pili wekeni 6mechi

Fain mil 7



Akirydia mara ya tatu mpeni

10 match nje

Na mil 10



Nawambia haya mambonyataisha ..hizi.mil.1 washaona wanazimudu na mbaya zaidi wanakuwa wamemweka refa mfukoni



Kwa hali hii mna haribu mpira wa tanzania wapendwa



Nitashangaa mnalalamikia moroco wakati wenu wako vile vile



Ushauri tu maamuzi yako mikononi mwenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom