Mimi ninayo beatle mgongo wa chura kwa mil.1 tuHabari wakuu
Kwa budget ya mil.2 naweza gari aina gani na litakuwa kwenye hali gani kwa matumizi
Inahitaji matengenezo kidogo tu.Weka picha tuone
Tembelea www.kupatana.com ukang'oe mkoko unaohitaji kwa kiwango cha pesa yako.Habari wakuu
Kwa budget ya mil.2 naweza gari aina gani na litakuwa kwenye hali gani kwa matumizi
Nimecheka sana mkuu... eti linahitaj matengenezo kidogoInahitaji matengenezo kidogo tu.

Sawa mkuu ntazulu nioneTembelea www.kupatana.com ukang'oe mkoko unaohitaji kwa kiwango cha pesa yako.
Mkuu 3.5ml nikisogea sichukui?Ukiongeza 2m japo ikafika 4.5m naweza kukupa hiiView attachment 376605View attachment 376606
Inahitaji matengenezo kidogo tu.



aisee wewe jamaa umenichekesha sanaHa ha ha haInahitaji matengenezo kidogo tu.