Mimi binafsi naiona serikali ya Tanzania kama, ZEMBE, GOIGOI, YENYE WATU HAWAJAELIMIKA, ILA KWENYE DILI ZA WIZI WAMO. Hii ni kwa sababu wengi wao hawafikirii maendeleo ya tanzania baadae. Ni serikali ya Tanzania inapaswa kutafuta ushahidi uhusu CHENGE, na si mtu mwingine. Waziri gani aliye Mpuuzi namna hii, hii ni kukwepa majukumu, kuto kuwajibika, au kulindana. HUKU NI KUSOMA BILA KUELIMIKA!