Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hotuba nzima ya ummy page 206 ni blah blah tu ! Kaongelea Corona page 43-48 tena anaongelea historia ya corona sijui nini!
👉wapi kaomba hela mahsusi kupambana na corona?
👉wapi kaainisha mkakati wa serikali kupambana na corona?
Hawako serious kabisa! Halafu wanaomba michango?
👉wapi kaomba hela mahsusi kupambana na corona?
👉wapi kaainisha mkakati wa serikali kupambana na corona?
Hawako serious kabisa! Halafu wanaomba michango?