cabhatica
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 1,081
- 480
Sidhani Kama Wapo Hai Mkuu Kwani Nijuavyo Karibia Wote Wameshakufa.
Tupo bhana hatujafa! Tulienda timu ya watu nane na wote tuko hai. Binafsi sikuwa mgonjwa ila nilikuwa mkuu wa msafara na kikombe nilipiga.