kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 277
Jamani loliondo matumaini ya wengi
tuombe mungu asimchukue babu mapema!
Haswa! maana hapa napanga nakupangua huyu mkoloni nimuageje.
Kila nikijaribu mbili haikai tatu haikai kizunguzungu kinanipata,
Hasa nikifikilia ile meli,
Isijefika kabla cjaenda huko
babu wala hana hata muda wa kubishana sijui eti na mwingira ..cijui kakobe..rosttamu...ye ni kazi tu..big up babu..may god bless you.:lol: