Kwa anayehitaji ramani ya nyumba

Kwa anayehitaji ramani ya nyumba

rasdavy

Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
84
Reaction score
14
Ndugu watanzania wenzangu, mimi ni mbunifu majengo. Hivyo kwa yeyote mwenye uhitaji wa ramani ya nyumba kwa bei nafuu tuwasiliane 0 714155854
 
Ndugu watanzania wenzangu, mimi ni mbunifu majengo. Hivyo kwa yeyote mwenye uhitaji wa ramani ya nyumba kwa bei nafuu tuwasiliane 0 714155854




hayo majengo yana ubora au ndo yale yale yanayo anguka kila kukicha? Maana nijuavyo mimi ni kwamba kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
 
Ndugu watanzania wenzangu, mimi ni mbunifu majengo. Hivyo kwa yeyote mwenye uhitaji wa ramani ya nyumba kwa bei nafuu tuwasiliane 0 714155854

Mimi nahitaji ramani ya kiwanda kidogo kwa ajili ya ujasilia mali wa kusindika vyakula. ikitokea bahati mbaya biashara hiyo ikakwama nataka nifanye jengo hilo ukumbi wa shughuli ndogo ndogo ama niweze libadili kwa ajili ya matumizi mengine. Yaani kuwe na plan "B". Vipi hiyo wewe waweza?
 
Ndugu nyati hiyo kazi naiweza napatikana Dsm naomba tuwasiliane nitakututumia na baadhi ya kazi ambazo nimeshafanya na majengo ambayo nimedesign ambayo yameshajengwa. Hiyo kazi naiweza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom