Kwa anayehitaji Mhasibu

Kwa anayehitaji Mhasibu

Ndugu zangu mimi ni Graduate BAF Mzumbe na pia nina CPA, nimefanya kazi ya kama Account Payable ktk taasisi kubwa kwa miaka 3, hivyo kwa Taasisi inayoitaji mtu makini kwenye hiyo sector nipo tayari kufanya kazi.
Mkuu nicheki Tuyajenge
 
Back
Top Bottom