Kwa anayehitaji dada wa kazi.

Kwa anayehitaji dada wa kazi.

Jahlex

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
512
Reaction score
604
Kama unaishi Dar na unahitaji dada wa kazi wasiliana nami nikuunganishe nae sasa hivi,
~Ni mwenyeji wa dodoma_mpwapwa
~umri=20yrs
Mazingira ya kazi:
~Aishi kama mwanafamilia mwingine bila utofauti.
~Nyumba iwe jirani na maji/maji yawepo karibu.
~Apate malazi na chakula nje ya mshahara.
~Mshahara uwe si chini ya 90,000/- yaani wastani wa 3,000/- kwa siku.
Kama ni mhitaji wasiliana nami kwa 0655185973 ila utanipa 10,000/-
Karibu.
 
Back
Top Bottom