DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,313
- 109,381
Ushauri murua kabisašWe nenda tu karipoti, godoro lako usilitoe nylon.
Ushauri murua kabisašWe nenda tu karipoti, godoro lako usilitoe nylon.
Embu nitumie picha yako pm rafiki mwaahMi wa kike jaman
Pako vizuri sana ile centre ni ndogo ila ukisikia matajiri toka enzi hizo kwa mkoa wa kagera hadi sasa wako pale huduma zote muhimu zipo + starehe pia kuna vijana wa chuo cha kilimo uwa wanauchangamsha mji hasa siku za wikiendi wanakuwa wa kutoshaWakuu habari za muda huu..
Ninaomba kwa mwenye wenyeji wa Katabya Nshamba wilaya ya Muleba anijuze kuhusu maisha kiujumla kwanzia watu wake, uchumi na mazingira
Tena wewe ndio mlengwa, nenda na godoro la nylonMi wa kike jaman
Kwa vijijini ukiwa mgeni inakuwa Ni ngumu kupata ushirikiano toka Kwa wenyeji hii Ni kweli au sio kweli?Sasa shida nini?
Karibu igabiro,Wakuu habari za muda huu..
Ninaomba kwa mwenye wenyeji wa Katabya Nshamba wilaya ya Muleba anijuze kuhusu maisha kiujumla kwanzia watu wake, uchumi na mazingira
Utuachepoš¤£š¤£Kwa Nilivyosisitizwa na bi mkubwa"Wahaya sio jamii nzuri Sana kuishi Nao wakiwa kwao"nendako utatusimulia ukishakaako(Kwa sauti ya watu wa kanda ya ziwa)š¤š¤š¤š¤