Kwani kuna habari gani?Wakuu habari za muda huu..
Ninaomba kwa mwenye wenyeji wa Katabya Nshamba wilaya ya Muleba anijuze kuhusu maisha kiujumla kwanzia watu wake, uchumi na mazingira
Mi wa kike jamanWe nenda tu karipoti, godoro lako usilitoe nylon.
SawaMi wa kike jaman
Dah nimechekaWe nenda tu karipoti, godoro lako usilitoe nylon.
Utapigwa katerero yatatoka!😂😂😂Mi wa kike jaman
Wee unachukia wahaya nakujua! Walikukosea nini?Kwa Nilivyosisitizwa na bi mkubwa"Wahaya sio jamii nzuri Sana kuishi Nao wakiwa kwao"nendako utatusimulia ukishakaako(Kwa sauti ya watu wa kanda ya ziwa)🤓🤓🤓🤓
Huko mm ni kwetu.Ukifika hapo Nshamba mjini mtafute Mkiza Sebastian na Alice au Elias Msona kisha unipm.Ni pazuri sana kuna ndizi na senene.Isalimie familia ya Masilingi,Mathias Mushuti.Kyeju na Katarama.Wakuu habari za muda huu..
Ninaomba kwa mwenye wenyeji wa Katabya Nshamba wilaya ya Muleba anijuze kuhusu maisha kiujumla kwanzia watu wake, uchumi na mazingira
Kwakweli umeniiwahi kumshauri hiloWe nenda tu karipoti, godoro lako usilitoe nylon.
Mna ukabila sana. Hata mimi nawachukia. Ijapokowa dada yenu kanipa heshima ya kuitwa baba😀Wee unachukia wahaya nakujua! Walikukosea nini?
Shikamo mwaalimuu.Wakuu habari za muda huu..
Ninaomba kwa mwenye wenyeji wa Katabya Nshamba wilaya ya Muleba anijuze kuhusu maisha kiujumla kwanzia watu wake, uchumi na mazingira
Nshamba ni huko Muleba unapandisha mlimani hiv upande wa kushoto wa barabara ya kutokea biharamulo kuelekea Bukoba.Kuna onekana kuna baridi muda mwingi.Wakuu habari za muda huu..
Ninaomba kwa mwenye wenyeji wa Katabya Nshamba wilaya ya Muleba anijuze kuhusu maisha kiujumla kwanzia watu wake, uchumi na mazingira
Kama hujui kupiga katerero wala usijisumbue kwenda Muleba. Maisha ya kule ni mwendo wa kumwaga maji kwa kwenda mbele, hakuna kazi nyingine unakula bishoro unarudi kumwaga maji.Wakuu habari za muda huu..
Ninaomba kwa mwenye wenyeji wa Katabya Nshamba wilaya ya Muleba anijuze kuhusu maisha kiujumla kwanzia watu wake, uchumi na mazingira
Hapana,sina tatizo nao kabisa!Wee unachukia wahaya nakujua! Walikukosea nini?
Sasa shida nini?Hapana,sina tatizo nao kabisa!