Squixhy pie
Member
- Dec 17, 2018
- 25
- 9
Kam Uzi unvocem mwenyew kujua anijuze!!!!
Mimi utangazaji mkuu...Unataka usomee uandishi au utangazaji?
UtanqazajiUnataka usomee uandishi au utangazaji?
Utasomeaje kitu kikubwa namna hiyo ile hali uandishi wako tu hauna mashiko?Utanqazaji
Mwandiko wa hovyo halafu anataka chuo kizuri aiseeUtasomeaje kitu kikubwa namna hiyo ile hali uandishi wako tu hauna mashiko?
Umakini kwenye uandishi huna, unaandika mambo yasiyoeleweka, jaribu kusoma tangu mwanzo kile ulichokuwa unaandika uone namna ambavyo unaboronga.
Hiyo jamii unataka uitangazie huo utumbo!
Mwandiko wa hovyo halafu anataka chuo kizuri aisee