G.25 JF-Expert Member Joined Jun 12, 2013 Posts 1,788 Reaction score 1,967 Jan 20, 2015 #1 Ni mara nyingi tu nimeshawai kuona watu wakifuga ndege wa aina tofauti tofauti wa porini. Huwa nasikia wana faida nzuri" nigependa kujua hii biashara ikoje? kwa anaejua.
Ni mara nyingi tu nimeshawai kuona watu wakifuga ndege wa aina tofauti tofauti wa porini. Huwa nasikia wana faida nzuri" nigependa kujua hii biashara ikoje? kwa anaejua.
E Earthmover JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 25,977 Reaction score 25,303 Jan 20, 2015 #2 ... .....inahitaji moyo sana hasa kumnasa Tai ....kama kuna DG (District Game Officer ) eneo lako atakupa maelezo zaidi
... .....inahitaji moyo sana hasa kumnasa Tai ....kama kuna DG (District Game Officer ) eneo lako atakupa maelezo zaidi
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,906 Reaction score 14,873 Jan 20, 2015 #3 Ngoja nami nisubili wajuzi,nipate kufahamu...
General8 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 996 Reaction score 862 Jan 20, 2015 #4 Nilifkiri unaulizia biashara ya ndege, yaani! Airplane, nikajiuliza jamaa anataka kuanzisha air train au air G.25
Nilifkiri unaulizia biashara ya ndege, yaani! Airplane, nikajiuliza jamaa anataka kuanzisha air train au air G.25
B bunited JF-Expert Member Joined Feb 5, 2014 Posts 815 Reaction score 216 Jan 21, 2015 #5 General8 said: Nilifkiri unaulizia biashara ya ndege, yaani! Airplane, nikajiuliza jamaa anataka kuanzisha air train au air G.25 Click to expand... Hata mm mkuu nilijua hivyo
General8 said: Nilifkiri unaulizia biashara ya ndege, yaani! Airplane, nikajiuliza jamaa anataka kuanzisha air train au air G.25 Click to expand... Hata mm mkuu nilijua hivyo
G.25 JF-Expert Member Joined Jun 12, 2013 Posts 1,788 Reaction score 1,967 Apr 19, 2015 Thread starter #6 General8 said: Nilifkiri unaulizia biashara ya ndege, yaani! Airplane, nikajiuliza jamaa anataka kuanzisha air train au air G.25 Click to expand... mh..huyu nae....soma maelezo!
General8 said: Nilifkiri unaulizia biashara ya ndege, yaani! Airplane, nikajiuliza jamaa anataka kuanzisha air train au air G.25 Click to expand... mh..huyu nae....soma maelezo!