Wanaanza na screen interview ya typing.kwa kutumia laptop inatakiwa uwe na speed ya kufa mtu na wanaangalia typing accuracy ukipita hiyo ya kwanza ndio mnafuata interview nyingine ...kama huna speed utatumia nusu saa tu then watakushukuru kwa kuhudhuria.wapo vizuri fanyia kazi hilo na best of luckNimeitwa interview World church service kasulu Kigoma niliomba kupitia bright monday kwa anae fahamu interview zao msaada plz nipate idea maana nitaanza na written half behaviour based interview