Habar wana JF, kama kuna mwenye experience ya interview na Access Bank kwa loan officer position naomba anisaidie ni vitu gani muhimu kujua au maswali waliyoulizwa ili niwe na idea.
Maswali yao hayatabiliki ila niyakawaida sana...ushauri Wang kama huna kabisa kibarua hapa mjini nenda kapige hiyo ila kama uko somewhere unapata japo kaposho cha sabuni ACHANA nao hao Access. Sio bank hiyo ni SACCOS
Maswali yao hayatabiliki ila niyakawaida sana...ushauri Wang kama huna kabisa kibarua hapa mjini nenda kapige hiyo ila kama uko somewhere unapata japo kaposho cha sabuni ACHANA nao hao Access. Sio bank hiyo ni SACCOS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.