Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,282
- 50,098
Mkuu hivi ngoma mpya ya Diamond ina views ngapi mpaka saa hii huku YouTube.?Aman iwe juu
Leo ndo nimeona mtu anajiliza nilikuwaga tu nasikia kuna watu huwa wanajiliza msiban
Yaan mtu analia jiko kavu kamaa dagaa Wa kigoma
Jamaa anajifanya kuongea kwa huzuni huku uson kakunja ndita, aise haya maajabu ya karne
Alafu cha ajabu jamaa anajiliza maboya nao wanalia kweli
Achen kutafuta kiki kwenye misiba ya watu
NEY YORK BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa aya bhanaMkuu hivi ngoma mpya ya Diamond ina views ngapi mpaka saa hii huku YouTube.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unagusa hisia za watu wakati wenzako unawaigiziaMpoto ndie aliyefanikiwa kugusa hisia za watu baada ya ule utenzi wake na wasingemuwahi watu walishaanza kupiga yowe
Muachage uongo
Kumbe humu wengi waongo wafitini na wazushi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vihoja ni nandy kuumia zaid kuliko mama ruge mtahabaVihoja je vipi hakuna?
Kapigwa chin baada ya kumuita magufur sizonjeHuyo mpoto si ndo alikua "Msanii Rasmi wa Serikali" enzi za Jakaya? Kila event ya serikali na taaasisi yupo ...siku izi itakua wamempiga redundancy
Hakikaukishajua mtu anaitwa msanii ina maana ana mambo ya kiusanii sanii
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijal hamisa mobettosawa Babu Tale
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahahaa unateseka sana Dada Yangu afu Mimi nacheka sana maana wewe ni ndugu Yangu sana kwenye ile ID Yangu nyingine.
Mwanaume hasifiwi machozi wewe!Aman iwe juu
Leo ndo nimeona mtu anajiliza nilikuwaga tu nasikia kuna watu huwa wanajiliza msiban
Yaan mtu analia jiko kavu kamaa dagaa Wa kigoma
Jamaa anajifanya kuongea kwa huzuni huku uson kakunja ndita, aise haya maajabu ya karne
Alafu cha ajabu jamaa anajiliza maboya nao wanalia kweli
Achen kutafuta kiki kwenye misiba ya watu
NEY YORK BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
We ndo unaeteseka aimbe mwingine utenzi tulie sie uumie wewe hujionei aibuHahahahaa unateseka sana Dada Yangu afu Mimi nacheka sana maana wewe ni ndugu Yangu sana kwenye ile ID Yangu nyingine.
Yote kwa yote nisamehe haya Maisha tu mpendwa wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wenye mashavu manene ndivyo walivyo.Aman iwe juu
Leo ndo nimeona mtu anajiliza nilikuwaga tu nasikia kuna watu huwa wanajiliza msiban
Yaan mtu analia jiko kavu kamaa dagaa Wa kigoma
Jamaa anajifanya kuongea kwa huzuni huku uson kakunja ndita, aise haya maajabu ya karne
Alafu cha ajabu jamaa anajiliza maboya nao wanalia kweli
Achen kutafuta kiki kwenye misiba ya watu
NEY YORK BOY
Sent using Jamii Forums mobile app