kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 314
- 1,121
Aman iwe juu
Leo ndo nimeona mtu anajiliza nilikuwaga tu nasikia kuna watu huwa wanajiliza msiban
Yaan mtu analia jiko kavu kamaa dagaa Wa kigoma
Jamaa anajifanya kuongea kwa huzuni huku uson kakunja ndita, aise haya maajabu ya karne
Alafu cha ajabu jamaa anajiliza maboya nao wanalia kweli
Achen kutafuta kiki kwenye misiba ya watu
NEY YORK BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo ndo nimeona mtu anajiliza nilikuwaga tu nasikia kuna watu huwa wanajiliza msiban
Yaan mtu analia jiko kavu kamaa dagaa Wa kigoma
Jamaa anajifanya kuongea kwa huzuni huku uson kakunja ndita, aise haya maajabu ya karne
Alafu cha ajabu jamaa anajiliza maboya nao wanalia kweli
Achen kutafuta kiki kwenye misiba ya watu
NEY YORK BOY
Sent using Jamii Forums mobile app