Kwa akina mama hii inawahusu

prettya

JF-Expert Member
Feb 20, 2019
227
192
Kwamba ukimjali msichana wa kazi atawajali watoto wako

Pia ni vema kujua historia yake

Mwelimishe majukumu yake

Mpe huduma anazo stahili

Usimtenge mfanye awe sehemu ya familia
 
K
Ni kweli. Mm kama Baba namjali sana Binti yangu wa kazi kuliko Mke. Maana bint wa kazi ndio ananilelea watoto wangu.

Mke wangu yupo busy na safari

Siyakudumisa Nkosi Yezulu

Kwekwekwekwe🤣🤣🤣 kumjali huko vepe.au matunzo ya ziada😂😂😂
 
Sisi kina baba tunapaswa kuhakikisha mlango wa house girl hauna kitasa na bawaba tunaweka grisi ya kutosha ili isipige kelele.......

Au sio wanaume wenzangu, maana hamna namna tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom