RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,124
Kama kichwa cha habari kinavyo sema, waafrica iwapo hatutacha upumbavu wa kutumia neno mabeberu ili kuficha madhaifu yetu ,basi tusitegemee kuendelea na bara letu lita zidi kuwa masikini mpaka mwisho wa dunia.
Unashangaa viongozi wanafanya maamuzi ya hovyo lakini likitokea la kutokea kutokana na maamuzi yao wenyewe basi wa kulaumiwa ni mabeberu.
Mfano mzuri ni hili la kuzuiliwa kwa ndege yetu,unashangaa anayelaumiwa sio yule aliyesababisha hilo deni lilosababisha ndege kuzuiliwa ,Bali anaye laumiwa ni beberu sasa sijajua hao mabeberu wanahusikaje katika hili.
Mfano unakuta lijitu linajiita eti lisomi lakini linakuja humu linaanzisha Uzi wa kuwalaumu mabeberu kwa umasikini tulionao ,hivi mabeberu ndio walio mtuma jiwe kwenda kuwadhurumu na kuwatia hasara wakulima wa korosho,kahawa,na mbaazi.
Waafrika tuache upumbavu tuzinduke,kila siku jamii ya watu weupe inazidi kusonga mbele kwa kasi ya ajabu ,wakati sisi tumekalia mambo ambayo haya maana wala manufaa kwa kizazi cha sasa na kijacho.
Unashangaa viongozi wanafanya maamuzi ya hovyo lakini likitokea la kutokea kutokana na maamuzi yao wenyewe basi wa kulaumiwa ni mabeberu.
Mfano mzuri ni hili la kuzuiliwa kwa ndege yetu,unashangaa anayelaumiwa sio yule aliyesababisha hilo deni lilosababisha ndege kuzuiliwa ,Bali anaye laumiwa ni beberu sasa sijajua hao mabeberu wanahusikaje katika hili.
Mfano unakuta lijitu linajiita eti lisomi lakini linakuja humu linaanzisha Uzi wa kuwalaumu mabeberu kwa umasikini tulionao ,hivi mabeberu ndio walio mtuma jiwe kwenda kuwadhurumu na kuwatia hasara wakulima wa korosho,kahawa,na mbaazi.
Waafrika tuache upumbavu tuzinduke,kila siku jamii ya watu weupe inazidi kusonga mbele kwa kasi ya ajabu ,wakati sisi tumekalia mambo ambayo haya maana wala manufaa kwa kizazi cha sasa na kijacho.