Kuzuia wanaopata mimba kuendelea na masomo: Lissu ampiga mtu dongo

Kwahiyo anaishi kwa vijembe.. Mbona shule za private zipo.. Si waende tu.. Watawapokea tu
 
..yule jamaa mwingine anadai eti darasa la kwanza wanaweza kujiunga shule wakiwa waja wazito!!

..wakati mwingine ana mawazo mazuri tatizo liko ktk uwasilishaji. Matumizi yake ya lugha hayapendezi wakati mwingine.
Ila kwa sisiemu hutakiwi kuremba mwandiko. Hao ni wa kutukanwa kabisa.
 
kwanini usimtumie uzazi wa mpango. Kama matunda huyapendi usijichoshe kuyaokota na kuyatupa bali kata mti yasizaliane.
 
We ndo zuzu, kwanini usimtumie uzazi wa mpango. Kama matunda huyapendi usijichoshe kuyaokota na kuyatupa bali kata mti yasizaliane.
Huo mpango wa kumeza madawa ni hatari sana. Wengi sasa wamebaki na mauvimbe tumboni.
 
Siku hz chadema haieleweki (waliokuwa wanayataka leo wanayaponda), tafsiri yake ni kwamba wangeshika dola wangefanya mambo ya hovyo sana!
Nikwel bt darasa là kwanza wengne wanasoma na miaka kumi n'a moja bt huyo anauwez WA kushika mimba bt cc wananchi tumeisha waelewa hawa Ni wapingaji WA kila kitu
 
Mbona hakumshauri Mbowe ampe Juliana Shonza second chance ndani ya CDM kama kweli anaamini girls deserve second chances.

Vipi ZZK alipotungishwa mimba ya usaliti mbona hatukusikia haya mahubiri?

2nd chance zisihubiriwe kinafiki kila mmoja atoe kwenye nafasi yake tuone sababu wakiuka kanuni siyo hao mabinti wenye mimba tu.
Embu acha kujitoa ufaham zzk aliwahi kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye kule bagamoyo kwenye retreat ya wabunge wa chadema na huyo huyo mbowe ndio alimkingia kifua ulitaka chance ipi ingine??? Unakumbuoa zzk alipotaka chadema imtose lwakatare hadi akakosana na mbowe pale ubungo plaza ila bado alisamehewa ssa chance gani tena apewe

Shonza hakuhitaji second chance yye aliita waandishi wa habari akailipua chadema kuanzia heche mpaka mbowe sasa mtu wa hivo second chance umpe kivp??hta wwe unaweza mpa nape second chance baada ya kuwa amemchafua vile serikali na chama??

Mifano ya kutoa ungesema kafulila alitimuliwa ila leo hii karudishwa kundini kapewa second chance hilo hulioni ila unaliona la zitto???

Shame on u
 
Nikwel bt darasa là kwanza wengne wanasoma na miaka kumi n'a moja bt huyo anauwez WA kushika mimba bt cc wananchi tumeisha waelewa hawa Ni wapingaji WA kila kitu
Wananchi gani wanaelewa??? Inamaanisha wananchu wanaunga mkono wasirudishwe shuleni??? Utafiti umeufanya lini wakati UNHCR inadai wananchi wanataka mfumo huo ufutwe kwa tafiti za kisayansi kabisa

Shame on u
 
Mi hili sichangii..!!! Sasa mwanafunzi ana mimba mnataka mkulu aseme zaeni tu mtarudi shule. Nyie wehu nini ?
Angalia faida ya muda mrefu!!! Mama hana elimu baba yupo jela hivi hamuoni mnaongeza maskini ukizingatia kwa muhongo huu mmoja wananfunzi 100,000 wameacha masoma kisa ujauzito!!!! Hapo unatengeneza mategemezi laki 3 kwa kosa dogo tu

Wake up watanzania serikali inaruhusu watoto wa miaka 13 waolewe ila hamuoni tabu then wakipata mimba hamtaki wasome ssa hizo ndoa za miaka kumi na tatu atasoma saangapi

Reason
 
801c0a1c6b52a5a2b80462ba2855a720.jpg
kasome vizuri ilani ya ccm 2015-2020


CCM wamejitakia wenyewe matatizo. Wanaingiza mambo kwenye ilani then mkulu anayakana.

Ninachofahamu mimi ni kwamba tangu zamani msichana akipata mimba anafukuzwa shule. Je kuna sheria yoyote iliyotungwa kuruhusu wenye mimba kuendelea na masomo? Kama haipo sasa kuna jipya gani alilolisema mkulu, wakati ndivyo ilivyo siku zote? Hizi kiki jamani hatari.
 
Hujafafanua kiongozi wangu,aliendelea sawa ila kwa mfumo upi?rasmi au usiorasmi.
Alipomaliza mtihan wa form two kipind anasubir majib hapo ndipo alipopata ujauzito...hakwenda form three mwaka unaofuata mpk alipojifungua...mbona nawajua wengi tu ambao walipata ujauzito wakiwa shuleni..na sasa wapo kazin wengine serikalini lakin wamenyamaza tu hata baada ya kauli ile
 
Nayeye kaguswa sasa mwambie asizuge asifie na hilo...
Aaamin nawaaambia hadi awamu hii iishe hatabakia mtu kati yetu asieisoma namba...
Ni swala la muda tu
Nimegundua kuna ukabila katika kusupport hii serikali..yaan hata ambao wanajua madhara ya kauli hii wameuchuna?
 
Alipomaliza mtihan wa form two kipind anasubir majib hapo ndipo alipopata ujauzito...hakwenda form three mwaka unaofuata mpk alipojifungua...mbona nawajua wengi tu ambao walipata ujauzito wakiwa shuleni..na sasa wapo kazin wengine serikalini lakin wamenyamaza tu hata baada ya kauli ile
Hongera mkuu,na vipi hali ya familia iko vipi?maana kutunza mtoto wa mwaka mmoja bila mama kuna changamoto zake,je ni high,low au middle class. Gharama za matibabu,nepi,sabuni,maziwa nk. Tuambie mkuu.
 
Kwenye hili, niko na Magufuli mwanzo mwisho. Haiwezekani, haiingii akilini na haikubaliki mtoto aliyeanza kufanya ukahaba mpk akashika mimba tumrudishe shule.

Wazazi msikimbie majukumu yenu. Leeni vizuri watoto wasipate mimba. Ikitokea kapata kwa bahati mbaya sana mpeleke veta, au vyuo vya muziki, uanamitindo, n.k
 
Dada yangu alipata mimba akiwa form 2.. Alipojifungua aliendelea kusoma na sasa ni mwandishi wa habar...mzee n fan mkubwa sana wa JPM..hapa hajatoa kauli kauchuna...hehehehe
Safi sana mlete mdogo wako mwingne nimgegede ataenda private then atakuwa mhandisi
 
Back
Top Bottom