Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,323
- 152,131
Kukatisha matangazo ya Bunge baada ya kipindi cha maswali na majibu ni jambo linalokera na kuumiza sana na hili ni moja ya mambo yanayonifanye nisifurahiahwe kabisa na huu utawala wa sasa.
Kitendo hiki mimi nakiona ni kama ukatili kwa wanaopenda kufuatilia shughuli za Bunge na kwakweli hakina justification yoyote.
Alafu kama mmeamua kuzuia Bunge kive,kuna haja gani ya kutuonyesha kipindi cha maswali na majibu alafu baadae mnakata matangazo kipindi cha maswali na majibu kinapoisha?Hamuoni huku ni kutuuongezea hasira tu?
Hivi ni lini na wapi mlifanya utafiti mkagundua kuwa watanzania wengi wanapenda zaidi kutazama kipindi cha maswali na majibu kuliko vipindi vingine vya Bunge?
Kuzuia Bunge live ni moja ya sababu kuwa ya CCM kupoteza kura nyingi mwaka 2020 hata kama mtakuja kurudisha huu utaratibu mwaka mmoja au miwilo kabla ya uchaguzi.
Wapinzani,swala kurudisha utaratibu wa Bunge live liwe ni moja ya agenda /ahadi yenu mwaka wa 2020.
Kitendo hiki mimi nakiona ni kama ukatili kwa wanaopenda kufuatilia shughuli za Bunge na kwakweli hakina justification yoyote.
Alafu kama mmeamua kuzuia Bunge kive,kuna haja gani ya kutuonyesha kipindi cha maswali na majibu alafu baadae mnakata matangazo kipindi cha maswali na majibu kinapoisha?Hamuoni huku ni kutuuongezea hasira tu?
Hivi ni lini na wapi mlifanya utafiti mkagundua kuwa watanzania wengi wanapenda zaidi kutazama kipindi cha maswali na majibu kuliko vipindi vingine vya Bunge?
Kuzuia Bunge live ni moja ya sababu kuwa ya CCM kupoteza kura nyingi mwaka 2020 hata kama mtakuja kurudisha huu utaratibu mwaka mmoja au miwilo kabla ya uchaguzi.
Wapinzani,swala kurudisha utaratibu wa Bunge live liwe ni moja ya agenda /ahadi yenu mwaka wa 2020.