Kuzama uvinza(chumvini) zilipendwa!

Kuzama uvinza(chumvini) zilipendwa!

lossoJR

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
2,711
Reaction score
2,387
Sasa naona uzungu unatutoka taratibu aisee,au sijui ndio stress za maisha, tafiti ndogo inaonesha kale kamchezo adhimu ka ka kucheza na kipaza sauti au kuzama uvinza naona kanapoteza Dira siku hadi siku,kutofautisha na awali ambapo wapenda nao ulikua lazima hatua hii ihusike kabla ya mgegedo..kifupi hata Mimi kwa sasa naichukia hii tabia with NO REASON.
•GUYS ikiwezekana tuipotezee tu hii kitu maana kuna amsha amsha nyingi tofauti na hizi zaku RISK vinywa vyetu.
77fc73cd8aa73544aeee6d8ca5539b62.jpg
 
Duh wazee wa kucheza na kipasa saut naona mnayajenga
 
Inategemea na watoto unaokutana nao mzee,..kuna madem huwez acha kwenda huko,..na sometime ukiteleza unaenda had upande wa pili wa shilingi,...lakin usifanye haya kwa random girls,lazma uwe nae awe mpenz wako kabsa,nje ya hvo utapotea..
 
Back
Top Bottom