Kuzaa mapema ndio mpango mzima

Mapema ndio miaka mingapi ................ na kuchelewa ni miaka mingapi ????
 
Hayo yanawezekana katika nchi zilizoendelea, ukizaa mtoto unapewa pesa ya kula, nyumba, matibabu na elimu bure. Kibongobongo ni ngumu sana, ukizaa mapema inamaana hukuendelea na elimu, maisha yatakuwa ya kungazaiza labda uwe unatoka kwenye familia inayojiweza na wanauelewa wanaweza kumtunza mtoto wakati wewe unaendelea na masomo.
 
Saafi kabisa,kuna watu wanasubiri kuoa ndio watafute watoto mtakuja kuzaa watoto watakao kuja kuwa watumwa wa wenzao.
 
Usizae/kuzalisha eti tu kwa sababu ya umri,
Zaa/zalisha pale tu unapoona unaweza kuwa ama kubeba majukumu yote kama mzazi ili mtoto ajivunia kuwa na wazazi bora.
 
Post ya kijinga sana hii...Kanye West amepata first born wake akiwa na miaka 34..Jay Z miaka 36..Obama Miaka 37....usizae ili mtoto aje kukusaidia but mtengenezee mazingira aje ku enjoy life hata kama haupo duniani
 
Kwa kweli wanaozaa mapema kwa Tanzania na Africa kwa ujumla, ni wale drop outs au ambao hawakuendelea na shule hao ndio % kubwa.
 
Mara nyingi wanaokimbilia kuzaa hawana exposure kubwa ya maisha....na hawatengenezi goals imara za watoto wao. Mfano Elimu bora,General Assets, Financial n Economic stability.

Halafu kuna dini flani ambayo ndio huwa inawasisitiza vijana wake waoe tu...haijalishi mtu ameset maisha vizuri au bado wao wanaamini Mungu atawajalia tu riziki.

Halafuu...kama wewe binafsi umeamua kuzaa mapema.

KWANINI UNATUSHAURI NA SISI? KWANINI TUKUIGE?
 
maisha hayana formula zaa mtt na uwenze kumtunza vizuri tunakimbilia kuzaa matokeo yake tunajaza dunia na mataka taka ukiangalia quality ya watt hakuna kitu kabisandio maana umaskini unazidi kutuandama. unaweza zaa na 20 hata hiyo 40 usifike na unaweza zaa na 40 na ukaishi mpk 90yrs cha muhimu jipange usitegemee kutunzwa na wtt.
 
Una

Unapoongea kwenye forum ya intellectuals unatakiwa uwe makini, usilete mambo ya dini na kufanya kuwa watu wa baadgi ya dini fulani ni dhalili na wala hawakusoma, usifanye hivyo kwa elimu yako ndogo ya vichochoroni. Dini unayosema wewe haisemi hivyo tu bali inakwenda mbali kwa kusema ukifika umri wa kuoa oeani ili muepukane na zinaa kwani Mungu anaichukia zinaa, na inasema ila oeni mkiwa na uhakika kuwa mnauwezo wa kuwatunza wake zenu kwa malzi, chakula, matibibabu na huduma zingine zote kwakuwa hayo ni majukumu ya mwanaume hata kama mwanamke atakuwa na kazi hiyo ni added advantage tu. So usiandike vitu kinafiki kutaka kuwafurahisha wahuni wenzako na kudhalilisha dini za wengine, wewe unadhani huko kwenye dini za wengine hakuna madokta, mainginia, mapiloti nk.
 
Baadgi = Baadhi

Oeani = Oaneni

Matabibabu = Matabibu

Poor intellectual hata kuandika tu kiswahili hujui? Nani mwenye elimu ya uchochoroni?

Unajua nimemaanisha dini ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…