hahahahahaaNenda kang'oe yote alafu ungoje yaote mengine..lazima yatakuwa meupe kama yangu..
Dawa za meno zina kemikali aina ya fluoride ambazo huweza kuozesha viungo ndani ya mwili baada ya muda fulani nmesahau specifically ni vipi (fuatilia uvijue) hivyo si vizuri kuacha kusukutua dawa maana italeta madhara baadae itakapo ingia mwilini.Mwone Dr wa meno kila baada ya miezi sita, ukishindwa mara moja kwa mwaka. Hii ni kwajili ya kusafisha meno na kuangalia matatizo mengine.
Punguza vyakula na vinywaji vinavyo badilisha meno rangi.
Safisha meno mara mbili kwa siku, wekeza kwenye dawa nzuri ya meno.
Wengi wetu tunasukutua baada ya kuswaki. ..hiii huondoa nguvu ya dawa kufanya kazi.
Acha kusukutua, tema tu dawa/mapovu Safisha mdomo kwa nje kazi imeisha.
Huu ndio utaratibu wangu binafsi, mimi sio Dr wa Meno.
Nashukuru kwa kuliweka hilo wazi.Dawa za meno zina kemikali aina ya fluoride ambazo huweza kuozesha viungo ndani ya mwili baada ya muda fulani nmesahau specifically ni vipi (fuatilia uvijue) hivyo si vizuri kuacha kusukutua dawa maana italeta madhara baadae itakapo ingia mwilini.
Cjawahi kwenda kusafisha meno kwa daktari wa meno kama ww umewahi je inagharimu bei gan?Nashukuru kwa kuliweka hilo wazi.
Kwenye upigaji wa mswaki tunazingatia kiasi cha dawa na pia muda wa upigaji. ...niliposema usisukutue nilimaanisha unahakikiksha umetema dawa yote na pia umepitia hatua ya kusuuza mswaki na kutumia ule mswaki wenye maji maji kusungua tena. ...
Iwapo utafanya hivi hutabakiza kiwango kikubwa cha floride between teeth na Iwapo utasukutua kwa kujaza maji mdomoni utakuwa umeimaliza yote na hapo ndio tunapokosea.
Inategemea unaenda kwa dentist yupi....nilishawahi kwenda pale posta mpya,Peugot house...niliktumia kadi ya Jubilee,ilikua around 200K hivi(though ilikua na kuziba jino)Cjawahi kwenda kusafisha meno kwa daktari wa meno kama ww umewahi je inagharimu bei gan?
Sijui inagharimu kiasi gani. ..inategemea na mahali ulipo. UliziaCjawahi kwenda kusafisha meno kwa daktari wa meno kama ww umewahi je inagharimu bei gan?
Poa. Aaah.. I think is a crazy qn but anakupigisha mswaki au anakusafishaje !!?Sijui inagharimu kiasi gani. ..inategemea na mahali ulipo. Ulizia
Swali zuri, ila anahitajika mtaalam aweze kulijibu. .wengine tukishafungua kinywa na macho yanafumbwa hatujui vifaa gani vinatumika. .ila sio mswaki.Poa. Aaah.. I think is a crazy qn but anakupigisha mswaki au anakusafishaje !!?
Nina dawa ya meno isiyo na fluoride, kwahiyo ni salamaDawa za meno zina kemikali aina ya fluoride ambazo huweza kuozesha viungo ndani ya mwili baada ya muda fulani nmesahau specifically ni vipi (fuatilia uvijue) hivyo si vizuri kuacha kusukutua dawa maana italeta madhara baadae itakapo ingia mwilini.
Naomba nkuulize. Kwa nnavyo fahamu fluoride compound ndiyo inayosafisha meno ingawa ina side effects. Sasa kama hiyo dawa haina fluoride inasafisha kweli?Nina dawa ya meno isiyo na fluoride, kwahiyo ni salama
Mmmh! Hujasema tusukutue baada ya muda gani? Inamaana unaweza piga breakfast bila kusukutua?Mwone Dr wa meno kila baada ya miezi sita, ukishindwa mara moja kwa mwaka. Hii ni kwajili ya kusafisha meno na kuangalia matatizo mengine.
Punguza vyakula na vinywaji vinavyo badilisha meno rangi.
Safisha meno mara mbili kwa siku, wekeza kwenye dawa nzuri ya meno.
Wengi wetu tunasukutua baada ya kuswaki. ..hiii huondoa nguvu ya dawa kufanya kazi.
Acha kusukutua, tema tu dawa/mapovu Safisha mdomo kwa nje kazi imeisha.
Huu ndio utaratibu wangu binafsi, mimi sio Dr wa Meno.
Sijakuelewa unawezaje kupiga breakfast? Fafanua?Mmmh! Hujasema tusukutue baada ya muda gani? Inamaana unaweza piga breakfast bila kusukutua?
Ni kama unavyopiga msosi.Sijakuelewa unawezaje kupiga breakfast? Fafanua?