Kuwezeshwa kibiashara kwa Vijana

lamarrich

Member
Joined
Aug 30, 2015
Posts
29
Reaction score
2
Nahitajii mkopo wa kuanzisha biashara, sina assets kama kiwanja, nyumba hata gari.. Lakini nimekua nikitafutaa mkopo ili nianze biasharaa.. Na naminii kua nitaulipa tu kwa muda muafaka..., nahitaji kuanzia milion million 3 hadi 10 kwa yoyotee tutakayeweza kuandikishiana kisheria nitamlipa na faida juu.. Asantenii.. Wandugu, ni PM kwa yoyote atakeyejisikia kuwekea mkataba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…