Kuweza ku install,change settings as a user

Kuweza ku install,change settings as a user

hatutumii hizo za ttcl au bmtl,mimi sio dumb kiasi hicho,nnatumia personal email,yahoo actually,sasa ameniambia kuwa wameziona zote nikashangaa,sina uhakika kama wameziona ila ameniambia bosi mwenyewe,kwani nikituma kwa yahoo hawawezi ziona inamaana,au wameona word docs nilizo save kwenye pc,nieleweshe vizuri kaka,kwani ishakuwa shida tayari
Awezi kuona your personal email kama za yahoo na gmail kama admin lakini kama mtundu anahack computer yako ukiwa kazini basi anaweza akawa anakula chabo nahiyo ni kosa kukuingilia mamboyako binafsi. Vinginevyo anakupa tumbo joto tuu. wewe nenda kwa hiyo site yenye portable softwares alafu unaweka kwa USB yako na utajipendelea mwenyewe labda awe na chukibinafsi akulie chabo wakati unatumia ofisini.
Kitukingine anachoweza kuwa anajua labda wewe unatumia internet nyingi sana labda kushinda wengine kama kila mtu hapo ofisini labda anatumia 100mbs alafu wewe unatumia 2gb kwa wiki. Hapo ndo anaweza kuwa anajua wewe unakula sana internet kushinda wengine basi unafanya mambo yako mengine wakati wa kazi. Mimi ningekushauri uangalie kama kuna wenzako hapo ofisini wanatumia internet zaidi au laa. Vinginevyo unaweza kufutwa kazi kisa kufisadi internet.
 
Ahsante,swala la internet kutumia sio kweli kwani kuna wateja ambao wanapata wifi for free,kwahiyo nadhani ni mtu alikuja kwenye pc yangu na kuziona zile application letter nlizosahau kudelete na ku report kwa mabosi,any way nime angalia hiyo portable app its really interesting,sasa minlikuwa nataka ku install software zangu mwenyewe,haiwezekani nufanya hivyo nahiyo portable app
 
Yahoo mail haina encryption after logging in kwa hiyo zinasomeka kama mtu anaintercept traffic kwenye network. Gmail ina encryption mwanzo hadi mwisho.

Pia hapo kazini wanaweza wakawa wanarekodi kila kitu kinachofanyika kwenye PC yenyewe, kisheria hiyo ni haki yao (nchi za wenzetu, bongo sidhani kama kuna sheria hizi) kompyuta na data zote kwenye network ya kazani ni mali ya kampuni hivyo ushauri ni bora utafute sehemu nyingine ya kutuma email zako na kudownload vitu visivyohusika na kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom