Habari wakuu mimi nina eneo kubwa ktk nyumba yangu la kuweza kuwekwa hata mnara wa kama simu n.k nasikia wanalipa fresh naomba wakuu idea yenu kuhusu hii issue, je inakuwaje system zao na kama wapo wenye kutaka kuweka naomba tuwasiliane nyumbayangu ipo maeneo ya kigamboni karibu na mikadi beach ahsante
0715-388666