Ngusekela Omwami
Senior Member
- May 6, 2022
- 103
- 113
Kwa Mungu hakuna Kondakta
Mtauziwa sana mchanga,maji, mafuta,juice,,soda za upako lakini mafanikio sahau
Mtauziwa sana mchanga,maji, mafuta,juice,,soda za upako lakini mafanikio sahau
Eeh, kumbe had chupi zinauzwa ukoJapo kuna wahanga wanaume pia, Ila wanawake ni wengi zaidi na ndio wateja wakubwa wa chupi, maji, mafuta, vitambaa na vitu vingine viuzwavyo na manabii.
Sana tu 😂Eeh, kumbe had chupi zinauzwa uko
Kweli kabisa mama mchungajiHakuna vishoka kwenye kutafuta baraka!!!!
Kweli kabisa mama mchungaji
Na walishanunua sana na hawajatoboaKwa Mungu hakuna Kondakta
Mtauziwa sana mchanga,maji, mafuta,juice,,soda za upako lakini mafanikio sahau
Na walishanunua sana na hawajatoboa
Nimekupata vyema mtumishi.Mungu alifanya kazi siku sita. Na siku ya saba akastarehe. Sisi tunataka starehe tu. Hebu fikiria katika siku sita za kazi Mungu alizotumia alipata masaibu gani? Alipitia changamoto nyingi na alifikiri sana sasa sisi hatutaki hivyo tunataka Muujiza tu. Ule muujiza wa Lazaro ulikua una process hebu fuatilieni haukutokea from no where
Hawa ma grandmaster wanaotoa magari halafu baada ya muda hayo magari huanza kuwachinja mmoja mmoja kama yule prophet wa Malawi. Wajanja wenye macho ya rohoni hawatakamatwa.Biblia inasema, iwapo ni wajinga hawata potea.Yesu hakuahidi kututumia manabii kwa mwongozo wa maisha. Yesu aliahidi kututumia Roho Mtakatifu ili atuongoze (Yohana 14:16-18).
Chini ya Agano la Kale, Mungu alizungumza zaidi kupitia manabii kwa sababu Roho wa Mungu alikuwa ndani yao. Katika kipindi kipya cha neema, Roho Mtakatifu yuko ndani ya kila aliyemwamini Yesu Kristo.
Katika historia ya kanisa, nabii yeyote wa kweli anaelekeza watu kwa Yesu. Hakuna mtu wa kweli wa Mungu anayeelekeza watu kwake. Manabii wa kweli wanataka kila mtu asitawishe uhusiano wa kibinafsi na Yesu.
Imeandikwa "Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu" 1 Tim 2:5.
Ninaamini katika kuomba pamoja na kuombeana. Lakini mtu yeyote anayekuambia kwamba lazima akuombee ili Mungu akujibu maombi yako ni nabii wa uongo. Manabii wa uwongo huunda ugonjwa wa utegemezi.
Uwe makini View attachment 2506871
Hawa ma grandmaster wanaotoa magari halafu baada ya muda hayo magari huanza kuwachinja mmoja mmoja kama yule prophet wa Malawi. Wajanja wenye macho ya rohoni hawatakamatwa.Biblia inasema, iwapo ni wajinga hawata potea.