Kuwategemea Manabii Ni Ibada Ya masanamu

Kuwategemea Manabii Ni Ibada Ya masanamu

Mungu alifanya kazi siku sita. Na siku ya saba akastarehe. Sisi tunataka starehe tu. Hebu fikiria katika siku sita za kazi Mungu alizotumia alipata masaibu gani? Alipitia changamoto nyingi na alifikiri sana sasa sisi hatutaki hivyo tunataka Muujiza tu. Ule muujiza wa Lazaro ulikua una process hebu fuatilieni haukutokea from no where
 
Na walishanunua sana na hawajatoboa

Tuliuzwa pale tulipojitoa burebure au tulipotolewa sadaka kwa shetani na tukakombolewa kwa sadaka ya msalaba na kifo cha Kristo
Na ili tuwe salama lazima tujitoe sadaka kwa kujifunza njia za Mungu, kusali, kukesha na kuomba, kufunga na kuacha maovu wa aina yoyote

Isaya 52:3-6
Maana Bwana asema hivi, Mliuzwa bure; nanyi mtakombolewa bila fedha.
Maana Bwana MUNGU asema hivi, Watu wangu hapo kwanza walishuka Misri ili wakae huko hali ya ugeni; na Mwashuri akawaonea bila sababu.
Basi sasa, nafanya nini hapa, asema Bwana, ikiwa watu wangu wamechukuliwa bure? Hao wanaowatawala wanapiga yowe, asema Bwana, na jina langu linatukanwa daima mchana kutwa.
Kwa hiyo watu wangu watalijua jina langu kwa hiyo watajua siku ile ya kuwa mimi ndimi ninenaye; tazama ni mimi.
 
Mungu alifanya kazi siku sita. Na siku ya saba akastarehe. Sisi tunataka starehe tu. Hebu fikiria katika siku sita za kazi Mungu alizotumia alipata masaibu gani? Alipitia changamoto nyingi na alifikiri sana sasa sisi hatutaki hivyo tunataka Muujiza tu. Ule muujiza wa Lazaro ulikua una process hebu fuatilieni haukutokea from no where
Nimekupata vyema mtumishi.
Ubarikiwe
 
Yesu hakuahidi kututumia manabii kwa mwongozo wa maisha. Yesu aliahidi kututumia Roho Mtakatifu ili atuongoze (Yohana 14:16-18).

Chini ya Agano la Kale, Mungu alizungumza zaidi kupitia manabii kwa sababu Roho wa Mungu alikuwa ndani yao. Katika kipindi kipya cha neema, Roho Mtakatifu yuko ndani ya kila aliyemwamini Yesu Kristo.

Katika historia ya kanisa, nabii yeyote wa kweli anaelekeza watu kwa Yesu. Hakuna mtu wa kweli wa Mungu anayeelekeza watu kwake. Manabii wa kweli wanataka kila mtu asitawishe uhusiano wa kibinafsi na Yesu.

Imeandikwa "Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu" 1 Tim 2:5.

Ninaamini katika kuomba pamoja na kuombeana. Lakini mtu yeyote anayekuambia kwamba lazima akuombee ili Mungu akujibu maombi yako ni nabii wa uongo. Manabii wa uwongo huunda ugonjwa wa utegemezi.
Uwe makini View attachment 2506871
Hawa ma grandmaster wanaotoa magari halafu baada ya muda hayo magari huanza kuwachinja mmoja mmoja kama yule prophet wa Malawi. Wajanja wenye macho ya rohoni hawatakamatwa.Biblia inasema, iwapo ni wajinga hawata potea.
 
Ni kweli kabisa kuna magari maalum hutengenezwa ili yatoe kafara ya damu.
Hawa ma grandmaster wanaotoa magari halafu baada ya muda hayo magari huanza kuwachinja mmoja mmoja kama yule prophet wa Malawi. Wajanja wenye macho ya rohoni hawatakamatwa.Biblia inasema, iwapo ni wajinga hawata potea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom