Imekuwa ni kawaida kwa CCM-Mafisadi na CUF kusomba wananchi toka maeneo ya mbali kwenda kufanywa hadhira kwenye mikutano ya vyama hivyo ugenini; mfano, jana CCM ilisomba wananchi kadhaa toka Dodoma mjini kwenda Msalato kwenye uzinduzi wa kampeni za udiwani kata ya Msalato; vile vile CUF ilisomba watu toka Dar na Tanga kwenda Arusha kutengeneza hadhira katika mikutano yao V4C. Je! lengo hasa ni nini na matokeo yake ni yepi?
Kwa hali kama hii, kuna haja gani ya kuwasafirisha watu ili ukawahutubie ugenini? Si ungewahutubia pale pale walipo ili kuokoa fedha za wanachama na chama chao. AU ni ufisadi kila mahali?
Kwa hali kama hii, kuna haja gani ya kuwasafirisha watu ili ukawahutubie ugenini? Si ungewahutubia pale pale walipo ili kuokoa fedha za wanachama na chama chao. AU ni ufisadi kila mahali?